johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,853
- 141,781
Akijibu swali la mtangazaji wa ITV Midle kuhusu uchunguzi ulipofikia kwenye tukio la kushambuliwa Tundu Lisu mbunge by then mh Simbachawene amesema yapo matukio mengi ya kutumia silaha yanayochunguzwa na hilo la Tundu Lisu siyo special ni uhalifu kama mwingine hivyo yote yanashughulikiwa kwa usawa.
Simbachawene amesema ifike mahali watanzania waelewe jukumu la polisi ni kulinda raia wote na mali zao kwa usawa na isionekane fulani ni muhimu kuliko fulani.
Chanzo: ITV
Simbachawene amesema ifike mahali watanzania waelewe jukumu la polisi ni kulinda raia wote na mali zao kwa usawa na isionekane fulani ni muhimu kuliko fulani.
Chanzo: ITV