Haaaahaaaa Goodmorning partner msitutanie nyie mkija kudikilizwa huwa hamuwaachi watu waamue mnakomaa nao mm wamekomaa na mm sitaki mwaka mzima wananifuata tu
Aisee kwa uvumilivu huo pepo yako mkuu mmm Sina utani na hivi viumbe mm mke wangu tuligombana tu akaniambia atatoka kingono nje ya ndoa aisee hiyo kauli tu ilitosha kumtimua a talaka juu ikafuata mahakamani na Ni ndoa ya kikristo Sasa wewe muislamu unaogopa nn au unalishwa na mama. Mchelea mwana...
Swali la kwanza Ana tako? Kama analo Basi washa makofi na Kama Hana tako fukuza maana wanawake wembamba Ni tatizo na inawezekana watoto sio wako na hapo alipo kakosana na mwenye watoto ndio maana unakuletea manyoka nyoka, pia vipi mchezo anakupa vizuri? USICHEZE NA CHATU.
Mi yashanitokea nipo katika hatua za mwisho za kumalizana naye pumbavu kabisa Hawa watu hasa Hawa wanawake wa kikristo vile vyeti vinawalewesha Sana na vinawapofua macho nilichoamua mm Ni kuvitia Moto tu nikamtumia picha whatsup sipendi dharau
Sijaelewa kwa hiyo nchi hii ukituhumiwa kwa rushwa ili Mambo yaishe lazima ujipendekeze kwa mkulu ndio Mambo yako yanaisha au unatakiwa ukajitetee mbele ya mahakama? Mbona Kama mleta post unaidhalilisha taasisi kuu.
Sijaelewa kwa hiyo nchi hii ukituhumiwa kwa rushwa ili Mambo yaishe lazima ujipendekeze kwa mkulu ndio Mambo yako yanaisha au unatakiwa ukajitetee mbele ya mahakama? Mbona Kama mleta post unaidhalilisha taasisi kuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.