Recent content by uungwana classic

  1. uungwana classic

    Najuta kuangalia SMS za mpenzi wangu

    Hapo acha kinyaa kula mzigo kiroho safi ila kama ulikuwa na mipango naye futa mipango hiyo ila huduma ya mzigo iendelee kwa amani mpaka pale utapata mwingine
  2. uungwana classic

    Ushauri: Kafaulu lakini anataka kuolewa

    Hapo kuwa na roho mbaya we ni mbongo acha kulea kizungu, achague kwenda shule au msijuane
  3. uungwana classic

    Dkt. Tulia Ackson ateuliwa na CCM kugombea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Sahiv hamna chadema bungeni kuna wahuni na viroboto na mpaka sasa wahuni100-viroboto 0 watajuana wenyewe huko
  4. uungwana classic

    Linganisha rekodi hizi za Simba na Yanga

    Nlijua upo kusema ukweli, kumbe kushabikia utopolo, Haya bila google f4 aliyepata matokea atajuaje yanga ni moja ya timu kubwa Afrika?,
  5. uungwana classic

    Niliacha kwenda kanisani baada ya kuona makanisa yanafungisha ndoa za jinsia moja kwa kigezo cha human rights, huku yakipinga ndoa za mitala

    Angalia sehemu kwenye bible ambayo inaruhusu hilo kama hamna? acha kutafuta visingizio vya kuhalalisha kutokwenda kwako kanisani, Mi binafsi huwa siendi kanisani lakin point yako ni weak mno
  6. uungwana classic

    Kumpeleka mtoto shule yenye ada kubwa ni kupoteza tu hela

    Kuna watu wanashindwa kukuelewa mkuu, Yaani mtu anayeingiza labda milioni 20 kwa mwezi anampeleka mtoto shule ya million 5 kwa mwaka kwake anaona amempeleka shule ya gharama ndo maana wanaropoka tu, ila wanatakiwa kuelewa mlengwa wa maada ni nani? Kwa ufafanuzi ni yule mzazi ambaye anapambana...
  7. uungwana classic

    Wanaume, ni bora ukakataa kuishi na mwanamke mwenye mtoto kabla kuliko kupretend kumbe haupendi

    Kwakweli sio sawa tena baba wa mtoto hayupo na yeye Mungu amemjalia kipato kidogo ila basi Mungu atusaidie ni ngumu kulea mbegu ya mwanaume mwenzako huku unajua ila kwa ambaye baba hayupo wala sio ngumu
  8. uungwana classic

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    Kwakweli watoto wangu watanisamehe, kuoa ntaoa ila kama sipati nlichokifuata then najikataa tu siwez teseka duniani kwa kitu ambacho naweza kufanya maamuzi mengine
  9. uungwana classic

    Jukumu la kumsafisha mtoto pale anapojisaidia ni la mama peke yake?

    Ndo maanake ametoka kwenye hiari sasa anaingia kwenye jukumu lake halisi
  10. uungwana classic

    Jukumu la kumsafisha mtoto pale anapojisaidia ni la mama peke yake?

    Nimesema akilia lia hovyo namuachia mama yake amnyamazishe kwanza koz ndo anaelewa huenda ni njaa au mengine ila kelele zingine tutapigishana mpaka mama yake mwenyewe atammisi
  11. uungwana classic

    Jukumu la kumsafisha mtoto pale anapojisaidia ni la mama peke yake?

    Akilia tu namwita mama ke sembuse kumsafisha? labda mazingira yalazimishe lakin akiwa hapo na yupo vizuri aah! sitak mazoea hata kidogo, huyo ni mm binafsi sisemi ni jambo mbaya kufanya hivyo
  12. uungwana classic

    Nimeota ndoto Simba anatolewa na Namungo kombe la Mapinduzi

    Kama ndo unaotaga ujinga hiv basi ni heri uwe unaota moto tu hizo zingine muachie Lema
Back
Top Bottom