Ukijaribu kufatilia kuanzia mechi ya Yanga vs Kmc na leo Yanga vs Pamba Jiji utagundua kuna mkakati wa maksudi kuumiza wachezaji wa Yanga ili tarehe 19/10 Wachezaji wengi wa Yanga wawe majeruhi na Simba ipate angalau mteremko kwwnye mechi ya watani wa jadi.
Benchi la ufundi la Yanga lina kazi...
Defence ya Yanga inapitika kirahisi sana, ni umakini mdogo wa washambuliaj wa KMC ndio umepelekea clean sheet kwa Diara leo. Ukija kweny build up hapo ndo tunazidi kupotea.. Mpinzani akipaki bus kwisha habari yetu.. tuna bakia kupiga back pass tu muda uende
Mkuu hebu waambie hawa watu, Nilichogundua mashabiki wengi wa Yanga hawapo tayari kuikosoa timu yao hata pale inapofaanya vibaya na ukiikosoa unaonekana wewe ai mwenzao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.