Recent content by utala utala TU

  1. utala utala TU

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Wewe unayenihoji mie sikusema wakati wa awamu ya 5, wewe ulisema awamu ipi?

    Nashangaa sana anaowasikiliza hawa wanafki. Pole pole aseme tu hajaridhika kuwekwa mbali na meza kuu. Ivi kiasi kile cha utekaji na mauwaji yaliyotokea wakati wa jiwe uyu yeye hakuyaona? Kuna watu wamepotea wakati wa utawala wa jiwe mpaka leo haijulikani walipo watu hao mbona hawakusema ?
  2. utala utala TU

    JamiiForums Tanzania Mapigano yalipuka kati ya Cambodia na Thailand

    Kazi ya hovyo kusulubika kwa ajili ya maslahi ya wajanja wachache
  3. utala utala TU

    JamiiForums Tanzania Vijana Kutumia Akili Unde (AI) kwa Ushauri wa Mahusiano na Urafiki

    Ai ni silaha hatari inayotumika kupiga vita moja kwa moja na kusambaratisha uwezo wa kufikiri wa mwanadamu,Dalili hizi zinaonyesha Dunia itaendelea kutawaliwa na watu wachache kwa muda mrefu sana
  4. utala utala TU

    JamiiForums Tanzania Breaking: Netanyahu akubali kusitisha vita baada ya shambulio la Iran asubuhi ya Leo 24.06.2025

    Zile ngano za walipiga mataifa ya kiarabu kwa siku sita nchi ikiwa changa zitakuaje sasa😁😁 ? #Iran taifa teule la Mungu #
  5. utala utala TU

    JamiiForums Tanzania Yawezekana hali halisi ndani ya Israel ni mbaya kuliko….

    Iran taifa teule
  6. utala utala TU

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wakristo wanaishabikia sana Israeli? Sababu hizi hapa

    Madaktari wa akili wanaumuhimu mkubwa katika jamii zetu
  7. utala utala TU

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Harmonize asema atagombea Ubunge Jimbo la Tandahimba 2025

    Vilaza wanazidi kujipenyeza nafasi nyeti, Nchi ya kisenge hii, utashangaa anakua kweli mbunge
  8. utala utala TU

    JamiiForums Tanzania Je, waarabu hawaipendi Irani au kuna mapandikizi katika nchi zinazoizunguka Iran?

    Sababu ya uwongo,mbona Iran kipindi cha mfalme shaha haikuwa Ivi? Useme tu hao waarabu na Irani wapo mikondo tofauti ya kisiasa kama south Korea na north Korea
  9. utala utala TU

    JamiiForums Tanzania Mnaosema Afrika hatupo huru upande wa kiimani/ kidini,je mfumo wa Kisiasa tumeweza kubaki kuwa huru?

    Hoja za kusema dini ndio inadumaza uwezo wa kufikiri na maendeleo ya mwafrika ni hoja dhaifu mno tena zinatakiwa kupingwa vikali sababu zinalea na kuficha madhaifu yetu ya kweli. Kwanza Ukitazama 80% ya jamii zote duniani dini wamerithi tu kutoka kwenye jamii nyingine kama...
  10. utala utala TU

    JamiiForums Tanzania Trump apiga marufuku raia wa nchi 12 kuingia Marekani

    Hi Haiti ingejiunga tu na umoja wa Afrika duniani ingejua moja kuhusu wao
  11. utala utala TU

    JamiiForums Tanzania Kati ya maajabu niliyokutana nayo Duniani yapo sita ambayo mpaka Leo yanaishi kwenye fikra zangu

    jina lako lenyewe tu linaonyesha kua 80% ya chai hii ina malengo maalum.
  12. utala utala TU

    JamiiForums Tanzania India yasema iko tayari kwa mazungumzo lakini upole wake usije tafsiriwa vibaya

    Mbona India kaambiwa atoe ushahidi kama Ivo vikundi vinakumbatiwa na Pakistan mpaka sasa wameshindwa kutoa
  13. utala utala TU

    JamiiForums Tanzania India yasema iko tayari kwa mazungumzo lakini upole wake usije tafsiriwa vibaya

    Ebu lete izo sababu zenye mashiko ulizoona kivyovyote India ilikuwa lazima ianzishe hii vita
  14. utala utala TU

    JamiiForums Tanzania India yasema iko tayari kwa mazungumzo lakini upole wake usije tafsiriwa vibaya

    Alikuwa anapima maji? Mi sijaona sababu zenye mashiko zilizowafanya India kukuza haya mambo hadi kufikia hapa yalipofikia
Back
Top Bottom