Wamepoozwa kwa Mama kuwa demoted kutoka kuwa First Lady hadi kuwa MBUNGE WA VITI MAALUM. MTU UMEKAA IKULU MIAKA KUMI BADALA YA KUKAA KWA HESHMA YAKO NYUMBANI KUTULIZANA NA FAMILIA, UNAKUJA KUPIGIZANA KELELE NA WABUNGE. THIS IS DEMOTION..!!!
Davdi Bashite is untouchable. Huyu ni Mungumtu kwa mkuu wa nchi!!! Mkuu wa nchi kaufyata... Mtu ana vyeti vya kuazima unamkumbatia at the same time unajidai eti unapambana na watumishi wenye vyeti feki kweli??? Kuna watu wameachishwa kazi kwa sababu ya vyeti na watachukuliwa hatua nyengine za...
Mkuu wa nchi kumfukuza kazi Bashite anapata tabu Sana kama mwanaume aliyezoea kulala na housegirl wake anaposhindwa kukubaliana na mke wake kumwondoa baada ya kuona mambo hayaendi ktk ndoa .
Serikali ya ccm inamwogopa Tundu Lissu kama UKOMA kwenye masuala ya sheria. Hii ni kwa sababu alishaipiga serikali kwa knock out kesi lukuki. Na akifanikiwa ku-take over, utakuwa mwisho wa serikali ya ccm kukanyagakanyaga sheria. Mambo mengi yamekuwa yakifanywa kinyume na katiba na sheria za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.