Wote 2slaa na lipumba wanauchu wa madaraka walitaka wagombee wao urais kupitia ukawa kila mmoja kupitia chama chake alikuwa na matumaini ujio walowasa umewachanganya hawana jipya
Mungu alimpa mwanadamu akili nabwana wakili ni elimu nabwana wa elimu nihekima unapo pata akili naelimu kubwa halafu mungu akakunyima hekima unakuwa mtu wamatatizo nafikiri lipumba alitakiwa atumie hekma ktk umojawao waukawa nahekmayenyewe nihi hapa alitakiwa kujuwa kwamba hata cdm...
Jambo lipo wazi cuf wana nguvu zanzibar chadema mbona hawajataka kugombea kiti cha urais cdm waliacha kwa sababu zanzibar cuf wananguvu nabara cdm wananguvu kuliko cuf wanahaki yakutowa mgombea urais nakupata viti vya ubunge vingi kwasababu wananguvu lakini kwatamaa yalipumba hajali yote...
Tatizo sio wanachama wa cuf tatizo ni lipumba bado anataka agombee yeye urais kupitia ukawa nahata kubali mtumwengine agombee kwayeye nibora ukawa ivunjike au atajitowa tatizo jingine wanachama wacuf wanamuamini saana hawajugunduwa kama ana matatizo kazi ipo
Naanzakuamini maneno zito kuwa watu wana uroho wa madaraka jambo jingine wanagombea majimbo wakati wakipewa kila mmoja majimbo 100 yauchaguzi wote hawna uhakika wakuyapata yote hivi wanamtatizo gani au ndio asili ya makabila yao niubishi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.