Recent content by USSR

  1. USSR

    JamiiForums Tanzania Eda ni nini? Je, Rais Samia kuendelea kuongoza akiwa eda?

    EDA NI NINI? JE, RAIS SAMIA ANAWEZA KUENDELEA KUONGOZA AKIWA EDA? BBC News, Swahili Iliyochapishwa: Saa 9 zilizopita Muda wa kusoma: Dakika 6 Kifo cha Hafidh Ameir, mume wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kimeibua maswali kuhusu kipindi ambacho mwanamke Mwislamu huingia baada ya kufiwa...
  2. Parabolic

    JamiiForums Tanzania Eda ni nini? Je, Rais Samia kuendelea kuongoza akiwa eda?

    Kifo cha Hafidh Ameir, mume wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, kimeibua maswali kuhusu kipindi ambacho mwanamke Mwislamu huingia baada ya kufiwa na mume wake. Kipindi hicho kinachojulikana kama eda kina masharti gani, huchukua muda gani na kinatofautianaje na maombolezo ya kawaida? Soma...
  3. USSR

    JamiiForums Tanzania FT: Mighty Wanderers 0-1 Simba SC | CAFCL-1st Leg | Wakali wa Kimataifa wafanya kweli | 06.09.2026

    Nani kafunga ? USSR
  4. USSR

    JamiiForums Tanzania Hujuma kubwa dhidi ya reli mpya ya SGR inayofanywa na wanaccm na ndilo chimbuko la kukataa katiba mpya.

    Wakati CCM wanaijenga wewe na lisu mlikuwa unaipinga leo unaseje mama USSR
  5. USSR

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais Samia habinafsishi wala kuuza bandari ya Zanzibar na Uwanja wa ndege wa Zanzibar?

    Fatilia vema sana wamebinafsisha kitambo sana na ndio walikojifunzia kubinafshisha USSR
  6. USSR

    JamiiForums Tanzania Rais Dkt. Samia Akiwaapisha Viongozi Wateule, Ikulu Ndogo Ya Tunguu, Zanzibar | 02 Septemba, 2026

    Channel gani wanaonyesha USSR
  7. USSR

    JamiiForums Tanzania Wapi chuo cha teolojia cha walokole

    Vipo kuna pale kudiembe Chalinze,Dodoma na Temeke TAG wanacho cha kwao EAGT wanacho cha kwao AIC wanacho cha kwao FGBFS pia na n.k USSR
  8. USSR

    JamiiForums Tanzania CDF Mkunda: JWTZ ni Jeshi lao Wananchi, waendelea kutoa ushirikiano kwa jeshi lao

    Sahihi kabisa hatuna jeshi lingine ndio jeshi letu hili USSR
  9. USSR

    JamiiForums Tanzania KERO Chanjo ya Polio inatolewa bila utaratibu mzuri wala ridhaa ya Wazazi Dar es Salaam

    Waislamu ishu ya chanjo huwa lazima mzingua sip zamani sio jana nyie hata wazee wenu walikataa ya mabusha sasa hivi wamejaza mapumbu maji nenda Tanga,pwani, Zanzibar,mtwara,lindi na mikoa yenye Waislamu wengi usikie ujinga juu chanjo mnazoita za wazungu . USSR
  10. USSR

    JamiiForums Tanzania Academic supremacy: Migiro vs Mnyika

    Jikumbushe hoja kuu au nawe kichwa maji USSR
  11. USSR

    JamiiForums Tanzania Wakuu nasikia G Malissa katekwa heti,si alikuwa nje ya Nchi,imekuaje Tena?

    Kamdomo kujifanya unajua kila kitu USSR
  12. USSR

    JamiiForums Tanzania Academic supremacy: Migiro vs Mnyika

    Mnyika huyu aliyefeli first year aka sepa kukimbilia kwa mbowe ndio unamlinganisha na gwiji wa UNO mama migoro kweli wewe zuzu USSR
  13. USSR

    JamiiForums Tanzania Askari Polisi Mwita Milumbe adaiwa kuteswa na kuuwawa, Ndugu waomba msaada

    Sasa umeambiwa usiseme na umesema umemponza aliyekupa taarifa maana umejitaja wewe ni kaka yake jiandae hapo utamtaja hadi aliyekupa hizo taarifa USSR
Back
Top Bottom