Recent content by USSR

  1. USSR

    JamiiForums Tanzania Mjukuu wa museveni ambaye anaandaliwa kuja kuwa CDF,2040.

    Sijui umeandika ma nini? USSR
  2. USSR

    JamiiForums Tanzania Umewahi Kugharamia Demu Halafu Akakunyima Utamu?

    Kaiwada sna USSR
  3. USSR

    JamiiForums Tanzania BARUA: Rais Samia tunaomba iingilie kati dhulma hii kubwa kwa wachimbaji wadogo mkoani Geita

    Sisi ni wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika mgodi wenye leseni za NICO RAYMOND NYEMELE (PML 1794/1795 GTA) na MHELLA NATHANIEL (PML 1797 GTA) zilizopo katika Mkoa wa Geita, Wilaya ya Geita, Tarafa ya Busanda, Kata ya Nyaruyeye na Kijiji cha Nyaruyeye. Mheshimiwa Rais, sisi wachimbaji...
  4. USSR

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa Palamagamba Kabudi, kuonja jiwe la moto Norway

    Huu ni ujinga wa kiwango cha lami hadi hao wazungu watawaona nyote viazi USSR
  5. USSR

    JamiiForums Tanzania Kuna kampuni inasumbua kupeleka michango yetu NSSF, ipo kwenye Mgodi wa Barrick Bullyanhulu

    Hata ikiwekwa kutoa sio leo wala kesho USSR
  6. USSR

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania G strings ndio nguo ya kuombewa msamaha na manzi, bila hiyo bro usikubali kusamehe mtu

    Sahihi mimi huwa naombwa msamaha na hii kitu akivaa mama watoto nakosa power kabisa USSR
  7. USSR

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania G strings ndio nguo ya kuombewa msamaha na manzi, bila hiyo bro usikubali kusamehe mtu

    Mimi ni mwanamume kamili, mimi nikaliwa hivyo na mama watoto nakosa power USSR
  8. USSR

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania G strings ndio nguo ya kuombewa msamaha na manzi, bila hiyo bro usikubali kusamehe mtu

    Watu wengi wamekuwa wakijiuliza hizi nguo huwa Zina valiwaje? Yani inakuwaje. Ukweli ni kwamba, hizi Zina itwa G string au thog, kikubwa zaidi ni kwamba Zina faida kuu mbili ambazo zitakushangaza kwakweli. 1- Bila shaka umewahi Kumuona mdada kavaa nguo iwe suruali au gauni la kubana ila...
  9. USSR

    JamiiForums Tanzania Kuna mashaka majengo ya NHC Kariakoo yanauzwa

    Mwamposa apangishwe au apewe ,can you be serious comrade USSR
  10. USSR

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Kiluvya madukani (Makurunge) hatulali kutokana na kelele kubwa ya bar ya REDOMAX

    Ukifanyia vibe kwenye club yenye soundbars USSR
  11. USSR

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Kiluvya madukani (Makurunge) hatulali kutokana na kelele kubwa ya bar ya REDOMAX

    Kwa muda sio kil siku ,tangu lini kelele zikapunguza stresses USSR
  12. USSR

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Kiluvya madukani (Makurunge) hatulali kutokana na kelele kubwa ya bar ya REDOMAX

    Kwamba bar imekuja juzi ila siso tuhame kupisha bar akili zako za kuku hizi USSR
  13. USSR

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Kiluvya madukani (Makurunge) hatulali kutokana na kelele kubwa ya bar ya REDOMAX

    Upepo wapi kule joto kali au hujuo bahari ipo nyuzi joto 0 chino ya usawa wa bahari, kaishi wewe umeme ukatike uone ,huku kiluvya majumba sita upepo kama wote USSR
  14. USSR

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Kiluvya madukani (Makurunge) hatulali kutokana na kelele kubwa ya bar ya REDOMAX

    Mh Mkuu wa wilaya na mkuu wa jeshi la polisi mkoa wa Pwani najua huko kwenu mnalala usingizi ila sisi wana makurunge hatulali kutokana ka kelele za mitetemo kutoka kwenye bar ya REDOMAX. Tuna wagonjwa , wengine tunelitumikia taifa wiki nzima na tunahitaji akili yetu ipumzike ili Jumatatu...
  15. USSR

    JamiiForums Tanzania Je, ulijua kuwa China peke yake ina akiba kubwa ya mafuta kuliko Marekani, Japan na Ulaya kwa pamoja?

    Hajua kitu kinaitwa mapato na matumizi population ya China kwa hayo mafuta ni machche sana USSR
Back
Top Bottom