Ni ukweli usiopingika jamaa kwa hizi wiki mbili ameiteka JF. Ukitaka kuprove hili angalia reaction ya watu pale aliposema amesitisha story yake. Unaweza kuwa na story nzuri lakini ukashindwa kuipangilia ili ieleweke ila jamaa ameweza. Naamini akiimaliza tutapata kujifunza machache (kwa wale...
Tunaona/olewa ili kupata wasaidizi katika familia zetu including kuanzisha familia. Unategemea mwenzi wako ndio atakua chanzo cha furaha na amani yako ya moyo lakini kama pamoja na kujitahidi kote huko bado habadiliki na kuleta maelewano ndani ya nyumba huyo tena hakufai. Kinachotuumiza wanaume...
Miaka ya nyuma ilizoeleka/ilikuwa ni ngumu sana kulea watoto wa kike kwenye jamii zetu ukilinganisha na watoto wa kiume.
Jamii ilikuwa na hofu kwamba anaweza kurubuniwa na wakora wasiofaa akaishia pabaya kuliko namna mtoto wa kiume alivyokuwa anaonekana.
Mambo yamebadilika sana kwa sasa na...
Jamaa ni msimuliaji mzuri sana wa visa/mkasa humu jukwaani. Ukiwa unasoma andiko lake pamoja na content anayozungumza lakini mpangilio pia huwa uko vizuri sana. Big Up Deep Pond [emoji1534]
Greetings wakuu!
Nimesikitishwa sana na kauli ya bwana ROMA MKATOLIKI kwamba ameshindwa kumpeleka mwanaye shule kwa kukosa karo kutokana na 'kufungiwa' kwa miezi 6 kutojihusisha na sanaa na BASATA
Inawezekana ameongea kutafuta 'public sympathy' na ndo maana akamchkua mtoto wake kwenda naye...
Darasa huru
Si mchezo
Kithatha- hapa alikua na kundi 'Fan With Sense'
Twende sasa
Unaonaje
Bado anatisha
Wakueleze
Jose masihara
Nawapenda
Shut up
N.k
Jose Mtambo hatari, sema tu ni MC aliyekosa nyota tu ya kuhit
Jamaa anaandika sana na style yake iko 'unique' kuliko wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.