Binadamu hawezi kupotea kwa siku zote hizo katika nchi ambayo hailingani na bara la Afrika. Kwanza kama kuna mtu anamshikilia basi akili ya huyo mtu ina matatizo makubwa sana.
Vijana kama Ben ni muhimu kuwepo katika jamii ya Tanzania na Dunia kwa ujumla. Kama kuna mtu kamficha/kumteka ni vema...
Kinachotakiwa hapo ni tahadhali tu kabla ya janga kutokea. Lakini uchimbaji wa chini kwa chini uendelee kama kawaida.
Sababu kubwa ni kwamba uchimbaji wa wazi unaweza usifikie mali iliyoko chini zaidi au setting yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.