Recent content by Usingizi

  1. U

    Nilichogundua kuhusu Arusha

    Nimejifunza vitu vingi sana hapa. Kwanza, tuelewe miji yote inajengwa na kodi za watanzania, especially miundombinu na miradi mikubwa ni kodi za wananchi wote wa TZ, so haya majiji yote (Dar, Mwanza na Arusha) yanajengwa kwa kodi za wananchi wa Arusha, Dar, Mwanza, Tanga, Mbeya n.k. Pili, kila...
  2. U

    Video: Msanii NEYO awasili jijini Dar kupiga show

    Kuna tamasha Mwanza linaitwa Jembeka Festival ndiko anakoelekea.
  3. U

    Hii ndio CARTEL ya Prof. Ndulu wa BOT...

    Naye akamchukua, naye akampachicha zimekua nyingi mno, utadhani hadithi....otherwise, good whistle blowing...
  4. U

    Yaliyojiri uwekaji jiwe la msingi barabara ya njia nne Arusha

    Arusha kelele nyingi tu...Walau Mwanza tunayo toka mwaka 2000 japo kuanzia round about ya Ghand hall mpaka Nela.....vitu vingi huwa vinaanza Dar, then Mwanza baadae sana Arusha...Mfano ktk nyanja ya media Radio ya kwanza private ni Radio 1 Dar (1994) ya pili radio free Mwanza (1995) Arusha 2014...
  5. U

    Kusua sua ujenzi uwanja wa ndege Mwanza ni vita ya Utalii, Siasa na Ubaguzi?

    Kwa hali hii kama nchi bado tuna kazi kubwa sana, imagine we are in the same country, then tunabaguana kikanda au kimkoa..Mungu tusaidie....
  6. U

    Kusua sua ujenzi uwanja wa ndege Mwanza ni vita ya Utalii, Siasa na Ubaguzi?

    There is no greater health than Wisdom, no greater Poverty than Ignorance, no greater friendship than Consultation.... Try to consult wise people kabla hujaropoka dada yangu.
  7. U

    Regina Lowassa amewapoteza makada maarufu wa CHADEMA?

    Hivi mwalimu kapotelea wapi????funikwa mbaya chezea ccm b wewe.
  8. U

    Lowassa Apeleka Katrina Babati. Mji Wasimama

    Kwahiyo sisi tukusaidieje...
  9. U

    Mwenyekiti wa taifa umoja wa vijana CCM aleta mpasuko Arusha leo

    Hii habari imekaa kishankupe sana....
  10. U

    Makamba: Lowassa ni mroho wa madaraka

    It does matter, coz anatafuta kura ili aingie ikulu.
  11. U

    Bundi ametua rasmi Mtaa wa Lumumba usiku huu

    Huyu mtoa mada amekaa kike kike kabisa, haya mtoto mzuri tumekuelewa. na kesho njoo tena.
  12. U

    Watu wa Mbeya mtabadilika lini?

    Halafu baadae wakampa.
  13. U

    Yaliyojiri Tanga: Mkutano wa Mgombea wa CHADEMA, E. Lowassa - Septemba 28, 2015

    Nilishaga Sena, watu wanaoenda kwa lowassa ndio hao hao wanaoenda kwa magufuli, so Hamna jipya hapo.
  14. U

    Lowassa ni Sokoine mpya

    Hii ngonjera yako kawapelekee watoto wa chekechea, Mlituambia na kutuaninisha jamaa hafai, na tutamkata tu October 25.
Back
Top Bottom