Karibu Brand Computer Solutions Tunauza photocopy mashine aina zote na zenye UBORA.
Tupo Mtaa wa MOSHI NA TUKUYU Dsm ILALA AMANA
DAR-ES-SALAAM
+255715331233
Nyumba imekamilika BOMA lenye vyumba vitatu kimoja masta, mashimo ya choo tayari nishafunika , fensi tayari imekamilika.
Naiuza mimi mwenyewe mmiliki hakuna dalali , ina square mita 400 , ipo buyuni chanika kama unaelekea sekondari ya buyuni, sio mbali na barabarabi ni kama mita 100 tu, umeme...
Bei zinatofautiana kutokana na ukubwa wa mashine na ufanyaji kazi wake halafu pia bei maelewano yapo. Bei zinaanzia 1.200.000 tshs mpaka 2.800.000 tshs inategemea na mashine.
Muhimu kama unataka tuambie unataka kwa matumizi yapi ili tukupe ushauri mashine inayokufaa.
Bei hatuwezi kuzipost hapa...
Huo mkanda una zaidi ya miaka 10 mwenye aliomba ata ukipatikana dakika 10 atashukuru..lakini tuliokoa masaa matatu. Alifurahi sana anaonesha familia sasa
Tunauza photocopy maahine aina za canon zenye uwezo tofauti tofauti . Tupo ilala Dsm amana .
Sio tu tunakuuzia pia tunakufundisha kuitumia na kuifanyia service mwenyewe bila kuita fundi kwa zile service ndogo ndogo.
Kwa wateja wa dsm unaletewa mpaka kwako na wa mkoa tunapeleka mpaka stendi ya...
Je una Mikanda ya Zamani ya video na unataka kuibadilisha ? Tupo kwa ajili yako tunaweza kuokoa kumbukumbu zako ikiwemo harusi..msiba..graduation na mengineyo karibu ofisi zetu ziko dsm ilala amana tunatizamana na kanisa la anglikana mtaa wa moshi na tukuyu,au tunaweza kuzifata ulipo hapa dsm na...
Tunauza mashine za photocopy used pamoja na vifaa vingine vya ofisi zilizo katika hali nzuri na ubora..spea zake zipo ..toner pia upo ..na tunatoa warranty ya siku 30,Bei zetu zinatofautina na ufanyaji kazi wa mashine na ukubwa wake,tupigie tukupe ushauri ipi inakufaa kwa kazi zako na shuhuli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.