Pole sana, Mimi ni zaid ya mwaka Sasa niliomba connection hata ya wireless, sijawahi hata kupigiwa Simu, Nashauri Serikali ibinafsishe TTCL
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Nina Nissan Hardbaody J8 ya mwaka 2009,
Ilikuwa na ZD30 engine imekufaa.
Nataka kuweka Engine nyingine nimekutana na mafundi tofauti Kila Moja anamapendekezo yake ya engine ya kuweka,
Kwa mwenye uzoefu kati ya izo ZD30, QD32TI na QD32,
Nirudishe ipi wakuu,
Sent from my CPH2159 using...
Mkombozi kwenye maswala ya Internet Elon Musk kasikia kilio, anakuja kufanya mapinduzi kwenye UPANDE WA INTERNET TANZANIA
SWALI:
TCRA na Nape hawata mbana mpka ashindwe ku deliver alichotaka?
Asiuze internet kwa unlimited auze kwa data caps?
Sent from my CPH2159 using JamiiForums mobile app
Leo nimesikia kwenye Taarifa ya habari ya E FM radio, 93.7 Dar es salaam.
Kuwa Mradi wa Maji uliotolewa na World bank, Mkandarasi ni Mchina.
Juzi nikiwa maeneo ya madale niliona wachina wakiwa wanasimamia uwekaji wa mabomba ya maji maeneo hayo.
Swali ni kwamba?
1. Serikali haina imani na...
Wapendwa hali zenu?
Naomba kujua namna na ni kiasi gani ninaweza kupata uwakala wa Mpesa, Tigopesa na Airtel money.
Tayari nimesha sajili jina la biashara, lesen na Tin.
Niko,
Wilaya ya Ilala,
Kata ya Msongola,
Mtaa wa Mvuleni,
Dar es Salaam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.