Recent content by urundini

  1. U

    Chato: Wananchi wafurahia DC Katwale kuhamishwa. Wadai alijikita kufanya kampeni za ubunge kuliko kutatua kero zao

    Je!!! ni majungu au ni khabari za kweliiii Jana Mh.Rais kasema yeye hana makundi. TAFAKARI...
  2. U

    Jokate: Rais Samia anajiamini ndiyo maana ameruhusu Wapinzani waandamane

    Hakufa kwa CORONA,muda wake wa kuishi juu ya mgongo wa dunia ulikwisha
  3. U

    Yuko wapi Komandoo Salmin Amour?

    UDSM material,kama hatujui hakuna haja ya kuandika uwongo
  4. U

    Lucas Mwashambwa umekosa utu kabisa kutumia ajali mbaya ya Arusha kisiasa

    Khatesh...... Sikumbuki kama waliagwa. Sisi ni wa Mwenyezimungu na kwake tutarejea. Bwana ametoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.
  5. U

    Arusha: Maandalizi ya Maandamano ya Amani yamekamilika, Freeman Mbowe awasili kuyaongoza

    Inna Lillahi Wa Inna Illahi Rajoon. Tuna kumbuka Khatesh pia. Hawakufanyiwa mazishi ya kitaifa. Tusamehane na tusonge mbele.
  6. U

    Ni ipi hasa sababu ya Freeman Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kwa kipindi kirefu hivi?

    Ni tabia nzuri kutokutaka kujua mambo ya familia zisizo kuhusu,faida zake inapunguza umbeya na kusutana.
  7. U

    Ni ipi hasa sababu ya Freeman Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kwa kipindi kirefu hivi?

    Mbona vyama vingine havina utaratibu wa kumchagua M/kiti..??
  8. U

    Nitajiunga CCM Makonda akiwaita wanajeshi kama anavyowaita Mawaziri

    Hii tabia ya kusema JW watafanya usafi nasema IKOME MARA MOJA. Yule aliyesema namtaka aombe RADHI na kwa kuridhaa yake mwenyewe amuombe CC amtumbue.
  9. U

    Huku mtaani kwa sasa hakuna mwanasiasa maarufu kuliko Makonda

    Hivi unadhani uko sahihi Hivi hujui kama kila goti litapigwa....... Hivi hujui kwamba duniani hakuna haki Hivi hujui kwamba Mungu atawalipia waliodhulumiwa Hivi hujui kwamba Mungu ana adhabu kali saana. Hivi alikwisha ungama
  10. U

    Waliopiga marufuku dawa zisije nchini toka Cuba, wanaenda CUba kutibiwa wao na ndugu zao

    Mh.Polepole alianza na the wrong foot ktk hizi dawa kutoka Cuba Tell you what....huu ndiyo mwisho wake wa kisiasa....haijawahi kutokea Balozi nje ya nchì kutoa maagizo kwa wananchi walioko nyumbani.
  11. U

    Zitto Kabwe, Lissu, Lema, Mbowe, legacy yenu ni ipi? Hayati Magufuli siyo size yenu

    My friends.... Mara tu baada ya change of guard huku kwetu,Rais anakuwa Mungu binadamu,hakuna sheria wala katiba inaweza mgusa. Hivyo basi hakuna haja ya kumpa maua The Late MagufuLi kwa kuwafunga midomo Machedema.
  12. U

    Kiongozi yupi huwa akitoa hotuba zake zina tija?

    Kiongozi wa duniani au huku TZ pekee.... 1. TZ: Mbowe
  13. U

    PreGE2025 Upendo Peneza: Jengo la HQ ya CHADEMA Mikocheni limenunuliwa kwa Fedha za Ruzuku na michango (makato) ya Wabunge

    Upendo Peneza....... Huyu Mh. angekaa kimya ili aonekane ni mwenye busara. Yeye sio mrembo wala kisiasa kama Mh. Mdee lakini aone jinsi Mdee alivyopotezwa mpaka sasa anaomba POO kwa kuhudhuria mambo ya kijamii huko kwa kina MBOWE.
Back
Top Bottom