Recent content by urbanthug

  1. urbanthug

    JamiiForums Tanzania Artificial Intelligence platforms

    03. Venngage Ai - Hii ni teknolojia inayotumika kutengeneza inforgraphics kwa ajili yako wewe mwenyewe, kampuni au taasisi. Hii hauna haja ya kuandika mambo mengi sana, naweza kuifananisha na Canva, unachukua template tu kisha unapachika then boom kinatokea kitu ubaweza uka-submit kwenda kwa...
  2. urbanthug

    JamiiForums Tanzania Artificial Intelligence platforms

    Tumia Ideogram Ai
  3. urbanthug

    JamiiForums Tanzania Artificial Intelligence platforms

    Deepseek Ai ni bora pia kwa sababu inaweza kukupa majibu bure, kukupa picha bure na baadhi ya sifa nyingi sana ,na inatumia language model ya R1 ,ila changamoto yake ni kuwa inaelemewa kila wakati kiasi cha kufanya watumiaji tusipate majibu kwa wakati
  4. urbanthug

    JamiiForums Tanzania Artificial Intelligence platforms

    2. Ideogram Ai - ni teknolojia inayotumia akili bandia (AI) kutengeneza picha na michoro kwa kutumia maelezo au maagizo ya maandishi. Inatumia njia ya kisasa ya kuunda michoro na picha kwa kutumia maelezo ya maandishi pekee, na inaweza kutumika katika nyanja mbalimbali kama vile ufanisi wa...
  5. urbanthug

    JamiiForums Tanzania Artificial Intelligence platforms

    1. ChatGPT - Ni tool ya mazungumzo inayotumia teknolojia ya artificial intelligence (AI) kutoa majibu, msaada, na ufafanuzi kwa maswali mbali mbali. ChatGPT inaweza kukusaidia juu ya maswala ya elimu, kujifunza kutumia programu za kompyuta, ushauri wa kibiashara, au hata kujibu maswali ya kila...
  6. urbanthug

    JamiiForums Tanzania Artificial Intelligence platforms

    Hii naiweka kama sehemu ya kukusogezea AI kila siku na jinsi zinavyofanya kazi kwa urahisi kabisa.
  7. urbanthug

    JamiiForums Tanzania Taja beats za nyimbo kali zaidi kuwahi kutengenezwa Tanzania

    Ngwair - Msela
  8. urbanthug

    JamiiForums Tanzania Msaada please wa forex imeleta hiv niende wapi

    oyaah[emoji23][emoji23]
  9. urbanthug

    JamiiForums Tanzania Wasanii & Waandishi

    Wasanii waandishi hunufaika na nini hasa baada ya kumfanyia kazi msanii mwenzao? Yaani kwa mfano Nandy kaandikiwa na Jay Melody, Aslay na wengine huko, je hawa waandishi hunufaika nini na na kazi waliyoifanya ambayo inampa mashavu mengi msanii aliyeimba ukiachana na wao walioandika?
  10. urbanthug

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa wale watumiaji wa smartphone za Halotel

    Twende PM
  11. urbanthug

    JamiiForums Tanzania Hivi kweli kuna wataalamu wa IT Tanzania?

    I.T kwa hapa bongo wapo wengi na wengi niliobahatika kukutana nao wana ujuzi sana na vitu vingi wamebuni ila changamoto inayowakuta pesa tu ya kufanikisha mambo yao
  12. urbanthug

    JamiiForums Tanzania Google Adsense inaboa sana

    Hebu ingia Kwenye Google Adsense privacy policy soma maelekezo yao mkuu! Hawana tatizo na mtu wale
  13. urbanthug

    JamiiForums Tanzania Hivi huyu msichana alifanywa nini na Diamond? Hii chuki si ya kawaida

    Huyu bi dada tunaachana nae kwa maana ni vigumu yeye tu kujaribu kufikia level za Tiffa! Ana followerz tu wengi lakini hatengenezi biashara kupitia hao followerz ,yaani page yake anaigeuza gazeti la udaku
  14. urbanthug

    JamiiForums Tanzania Mwanamke wa Joh Makini ni kituko

    Sio sawa kumsema binadamu mwenzako ni kituko ilhali yuko siriaz
  15. urbanthug

    JamiiForums Tanzania Wimbo gani nikiuongeza kwenye playlist yangu sitojutia?

    Hii yenyewe aisee
Back
Top Bottom