Recent content by UPOPO

  1. UPOPO

    Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

    MKwa uzoefu wangu,mwanamke wa ndoa kufanya kazi za nyumbani ni kujipanga.My experience nilikuwa na dada wa kazi wakati watoto wangu ni wadogo .Walivyoenda form 1 boarding wote ,niliondoa dada na principle yangu kuanzia wakiwa primary wakiwa holiday dada anaenda likizo na wenyewe wanajipanga na...
  2. UPOPO

    Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

    Kama unamjua mtu wako ,kila kitu kina sababu kwa nini ameanza kuonga mchepuko.Relax my dear ,focus you can not change or keep a man .Wewe angalia vitu vinavyokufanya uishi duniani (not him) kama kupendeza akikisha unafocus kujipenda ,kufanya kazi kwa bidii otherwise no one is perfect.
  3. UPOPO

    Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

    Ndoa ni muhimu lakini sio lazima.Mimi kwa uzoefu wangu wa miaka 20plus nimejifunza mengi sana.Mojawapo ni kuwa furaha yako hupati kwa mwenzako kama nilivyokuwa nafikiria ,pia tunaingia kwenye ndoa na matarajio makubwa kutoka kwa kila mmoja wetu.Sasa kikubwa kwenye ndoa ni kupata mtu unae endana...
  4. UPOPO

    Haya ndio makabila yenye kuongoza kwa kuwa na Wanawake wenye viburi hapa Tanzania

    Kuna siku nilikuta watu wanasubiri mchinja kuku hakuja nikawauliza kwani Kuna mtu mwingine anakuja kula Hawa kuku si sisi wanafamilia tu wakasema ni sisi tu .Nikashika shingo faster nikakata nikaweka maji ya moto.Loo familia wakaa kikao kaka yao asinioe tena mchagga wapi yeye mwenyewe aliwambia...
  5. UPOPO

    Mwanangu wa kiume miaka 4 lakini haongei ni kupiga makelele tu

    Pole sana mkuu.Mimi kijana wangu wa kiume yeye alichelewa kuongea pia mpaka.3 or 4yrs alikuwa hata kusema mama hasemi.Tukagundua tatizo ,pia akawa yeye ni kula na.kulala tu cha kushangaza aliyembea akiwa na miezi 9 na pia miezi 10 hivi hajikojolei na haja kubwa anatoa ngua anajisaidia chini.Mimi...
  6. UPOPO

    Kwanini Ukimwi Unazidi kupungua badala Ya kuongezeka

    Kutokana kuwepo na dawa za kufubaza ukimwi na watu kumeza na kufuatiliwa kwa karibu na dawa kutolewa bure unakuta ukimwi kwenye mwili wa binadamu au muadhirika umefubaa(Kuna viral load supression) hivyo kumwambukiza mtu mwingine inakuwa haiwezekani au kitaalamu inapungua kwa kuwa virus vimefubazwa
  7. UPOPO

    Wanawake mnatuharibia watoto wa kiume

    Wote wawili tena mwanaume ndio anaweza kuzuia kama kiongozi.
  8. UPOPO

    Wanawake mnatuharibia watoto wa kiume

    Kwa andiko lako ni kuwa kwa sasa wanaume wanajua kutoa "mbegu" tu na kuwaachia wanawake kulea watoto.Wanaume mnapokojoza mwanamke bila kinga au taadhari ujue kuwa karibu na matokea ya uzembe wako.Mnapokuja kulalamika huku ni kuwa wanaume wanaendelea kupungua duniani na wanawake wanachukua...
  9. UPOPO

    Tanzania yazuia ndege za Kenya Airways kutua nchini. Ni baada ya Kenya kutoruhusu ndege za Tanzania kubeba mizigo Kenya

    Soma barua wamesema kuanzia 22 January wewe anakuja 17 january atakuja n a KQ
  10. UPOPO

    Dark days 17/03/20...

    UMESHAHAMA MKUU ,NIKUPOKEE (Natania) Nimekukumbusha tu
  11. UPOPO

    Tuma Salamu za Krismas kwa watu wawili Unaowapenda sana hapa JF

    Merry Christmas wote humu JF nawapenda wote ,ingawa siwajui ila mmekuwa sehemu ya furaha na huzuni zangu.Nawatakia 2024 yenye heri na fanaka♥️❤️♥️
  12. UPOPO

    Mkurugenzi Mtendaji wa TANESCO unaamini katika uchawi au utendaji kazi?

    Kwanza umeme mbona bado unakatika na mvua tele mpaka mafuriko.What is the issue?mafuta yameshuka bei
  13. UPOPO

    Kijana kumaliza degree na kuuza mahindi au kazi za umachinga ni kujidhalilisha

    Umachinga ni umachinga tu.Approach au jinsi ya kuufanya ndio tunatofautiana kutokana na level ya elimu na uelewa wa biashara.Kuna anayefanya kwa kutandaza chini,kwa kutembeza au kwa mtandao.
  14. UPOPO

    Kijana kumaliza degree na kuuza mahindi au kazi za umachinga ni kujidhalilisha

    Mimi na Masters yangu nilianza umachinga wa kuuza vitambaa na nguo za wanawake bila kampuni.Sasa nina magodown na biashara nyingine.Mimi huwa nawashauri waanze mdomdogo hata kwa kuuza vitu vidogo vidogo ndio vinalipa na ukiwa na displine unafika mbali huku ukijifunza na kuwa supplier mkubwa.Mimi...
Back
Top Bottom