Huyu mzee si nilimwona na Samia wamepiga picha ikulu ya Dar .Niliona body language zao zilikuwa mmm no wander amekuja kuongea public inaelekea Samia hakukubali ushauri wake ndio maana amekuja kutoa kumoyo.Sasa tuambie tufanye nini baada ya mauaji,wizi wa kura nk
Mungu huwa anajibu faster October 29 Genz waliouwawa na kupelekwa mahospitalini akiwa waziri wa afya akuweza kuzuia wale maaskari wasiwaambie wauguzi wasiwatibu wapelekwe mortuary wakipumua Mungu fundi kweli kweli
Nchi hii kuba vituko ,sasa barua ya with sikukuu eee ,ingekuwa polisi sawa .Kwani wangemwambia akaripoti kituo cha pilisi wangeumwa.Sloslow is right kuba wahuni
Badala ya kusema issue ya akili ya Slowslow jibuni hoja zake otherwise nyie ndio mnaonekana wajinga na akili hazijakaa sawa wananchi wanawashangaa uzuri ni mwana CCM mwenzenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.