Naomba ukimuona Saed Kubenea mwambiye tumechoka na fitna zake juu ya Zittokabwe. Watanzania tuna matatizo mengi yeye gazeti zima anajaribu kumfitinisha Zittokabwe na watanzania Kama anaugomvi nae katika mgao amtumie email. Gazeti lake Mawio kwa sasa limekuwa full mipasho tumechoka
Upinzani Wa Tanzania hauna mpya, watu Wa Dar waliuamini upinzani enzi za Nccr Mageuzi. Sasa hivi wapinzani ni wapiga deal. Akinyimwa MTU pesa ndio analalamikia. Kwa mfano suala la IPTL umemsikia Dr. Slaa au Mbowe akilihoji? Kwa nini wanachao na Zitto kupitia amplifier wake Kafulila analihoji kwa...
Butiku fisadi anatumia jina la Nyerere kwa manufaa yake. Kuanzia waanze kukusanya michango Ya taasis hiyo inawasaidiaje wananchi Wa kawaida. Tunaona taasis Ya Mkapa inavyofanya kazi. Wamepewa kiwanja chaque Halmashauri Ya Jiji bure kukiendeleza hawakiendelezi wanakidalalia, bure kabisa
CHADEMA katika maandamano haya mnawashawishi Polisi ikiwemo kuwahonga ili wawadhuru wananchi wangapi ili kukipa kiky Chama?Watu Wa idara yenu ya habari wanashabikia kusikia mwananchi kauwawa au kaumizwa ndio news kwao na siyo kutueleza alichosema Mbowe kinamsaidiaje mwananchi Wa kawaida?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.