Naomba msaada wa kufahamishwa juu ya tatizo linalonisumbua la kuumwa kichwa kila mara ninapoamka usingizini, na ninapofanya kazi kwa muda mrefu kwenye laptop, au ninapoangalia tv hasa kwenye vibanda umiza ambapo mwanga huwa mdogo zaid ya ule wa tv peke yake! Naomba msaafa tafadhali
Hivi ni kwa nini cdm wanvuajihakikishia kuwa watu wote ambao hawajaandikishwa ndo wapiga kura wao? Wana uhakika Gani? Hivi wangekuwa makin Si wangejipanga na kuchukua kura za hats hao waliokwishaandikishwa tayari!kubalini kushindwa bhana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.