Limbu: Zitto ajiunga ACT Tanzania Kinyemela

Limbu: Zitto ajiunga ACT Tanzania Kinyemela

Kuasisi hakukulazimishi kujiunga, unaweza ukajenga nyumba lakini usiishi wewe humo, kaasisi ndio lakini ACT hawatoi kadi usiku na ofisi zao huwa hazifunguliwi usiku why ZItto apewe kadi usiku? na utakuta alisahau hata kuilipia.
ZITTO.jpg
 
Mambo ya zitto niya gizani kweli hii ofisi ya act itakuwa ni kituo cha polesi inafanya kaz mpaka usiku
 
Zitto anapenda migogoro, ACT ndio mwake.

Akiambiwa tulia, ana manga manga na kiherere kingiii...ngoja aanze kupiga kesi mwanzo mwisho
 
Kiongozi, kama una tetesi zaidi tunaomba utuongezee mwanga. Limbu alibainisha katiba ya ACT inataka zitto ajiunge kwa mtindo upi?


Ninachokiona mimi, Zito amepoteza hesabu kidogo. Hakujua tatizo lake na CHADEMA ni lipi, na akajua akihama litakwisha. Alitakiwa amalizane na CHADEMA kwa amani. Tatizo la mjukuu wangu Zito ni kiburi na maringo.

Mjukuu ni mbishi, hataki kukosea hata pale kakosea. Hataki kuonywa wala kuelekezwa anapokwenda nje ya njia eti kwa kuwa juzi alikuwa katika njia sahihi. Ni mtu wa mashindano na visasi vya kichini chini.

ACT pamoja na kuiasisi, lakini aliiacha msituni sasa inawamiliki wengine, na inavyoonekana kwa sabbu zao zozote bado hawamtaki Zito. Zito ataishi maisha ya vita katika safari yake yote ya kisiasa, unless ajifunze kubadilika.

Ameondoka CHADEMA kwa kufukuzwa, yeye anaita kung'atuka. Ameondoka kwa migogoro ya kutoelewana na viongozi wenzake na hakutaka kutafuta amani, akitegemea mashabiki wake watashinikiza CHADEMA imwache, bado anatembea na ubabe uleule. Hausaidii.

A lizard in Africa, can not be a lion in China!.


mashikolo mageni getteh ng'wana wise
 
Duh..hivi mtu anaweza kujenga nyumba halafu akazuiwa kuingia humo?

Kwani hujawahi sikia hiyo!?

Nenda kajaribu kujenga nyumba kwa jina la mtoto wa dada yako au nyumba ndogo halafu uisikilizie habari yake!!

Hata mpangaji wako anaweza kukudhulumu nyumba .................!!
 
Kuasisi hakukulazimishi kujiunga, unaweza ukajenga nyumba lakini usiishi wewe humo, kaasisi ndio lakini ACT hawatoi kadi usiku na ofisi zao huwa hazifunguliwi usiku why ZItto apewe kadi usiku? na utakuta alisahau hata kuilipia.

Kama Mwigamba anavyodai, mwanachama anaweza kugombea uongozi siku sita baada ya kujiunga.

Kwa vile uchaguzi wa ACT upo this week end, Zitto alifanya hivyo ili ameet hicho kipengere la sivyo angepoteza sifa ya kugombea huko ACT. MM hakuijua katiba vizuri kwa vile waandishi walikuwa akina Mwigamba na Kitila!! Hivyo ilibidi ashituliwe faster faster!!
 
Kama Mwigamba anavyodai, mwanachama anaweza kugombea uongozi siku sita baada ya kujiunga.

Kwa vile uchaguzi wa ACT upo this week end, Zitto alifanya hivyo ili ameet hicho kipengere la sivyo angepoteza sifa ya kugombea huko ACT. MM hakuijua katiba vizuri kwa vile waandishi walikuwa akina Mwigamba na Kitila!! Hivyo ilibidi ashituliwe faster faster!!

Na kama Limbu anachopambania kina ukweli ndani yake, lazima Zitto atakimbilia tena mahakamani kutetea uanachama wake, jamaa atajutia sana usaliti wake.
 
ZZK anatafuta sababu ya kukimbia siasa baada ya uharifu ktk siasa, anataka ije isomeke alibugi chama kikafa (ACT) naye akafa kisiasa, USALITI HUU noma.
 
Zzk he was born kuwa msaliti!huko act atawasaliti tu
 
vijana wa chadema hawajielewi,Mara zito Kaunda ACT,Mara zitto amefukuza waasisi hawaeleki

Nyie kila anayemzungumzia ZZK ni Chadema, jee huyu naye ni Chadema? Wanaomjua vyema ndio wanaomzungumzia.
ImageUploadedByJamiiForums1427283447.708867.jpg
 
Kiongozi, kama una tetesi zaidi tunaomba utuongezee mwanga. Limbu alibainisha katiba ya ACT inataka zitto ajiunge kwa mtindo upi?


Ninachokiona mimi, Zito amepoteza hesabu kidogo. Hakujua tatizo lake na CHADEMA ni lipi, na akajua akihama litakwisha. Alitakiwa amalizane na CHADEMA kwa amani. Tatizo la mjukuu wangu Zito ni kiburi na maringo.

Mjukuu ni mbishi, hataki kukosea hata pale kakosea. Hataki kuonywa wala kuelekezwa anapokwenda nje ya njia eti kwa kuwa juzi alikuwa katika njia sahihi. Ni mtu wa mashindano na visasi vya kichini chini.

ACT pamoja na kuiasisi, lakini aliiacha msituni sasa inawamiliki wengine, na inavyoonekana kwa sabbu zao zozote bado hawamtaki Zito. Zito ataishi maisha ya vita katika safari yake yote ya kisiasa, unless ajifunze kubadilika.

Ameondoka CHADEMA kwa kufukuzwa, yeye anaita kung'atuka. Ameondoka kwa migogoro ya kutoelewana na viongozi wenzake na hakutaka kutafuta amani, akitegemea mashabiki wake watashinikiza CHADEMA imwache, bado anatembea na ubabe uleule. Hausaidii.

A lizard in Africa, can not be a lion in China!.

Asante sana.
 
Nyie kila anayemzungumzia ZZK ni Chadema, jee huyu naye ni Chadema? Wanaomjua vyema ndio wanaomzungumzia.
View attachment 237694

Ungei cc kwa Ritz na team yake ......................... wao kila aliye against their thinking basi ni BAVICHA tu. labda inawezekana na Warema naye sasa akawa ni BAVICHA!!!
 
Last edited by a moderator:
embu weka ni taratibu zipi ambazo humfanya mwanacham ajiunge bila umagumashi??????????
mwambie na huyo bwana limbu aseme hapa ili amabo hawajajiunga wazitumie kujiunga
 
Back
Top Bottom