Jamani ndugu zangu wa JF hiviii hii imekaaje eti..
Kuna magazeti najua tubakutana nayo sanaaa ya kichina, kikorea, Kachina, mara kihindi hujakaa sawa Kiara kiarabu. Yapo nchini mwetu kwa wingi wa kutisha tu kiasi kwamba wauzaji hawauzi moja moja tena wanauza kwa kilograms na tunafungashiwa sana...
Ukiona hivo,
Mwanamke ulie nae alikubali kuolewa na wewe kutoka na hoja nyingine ambazo kupitia wewe aliona atazipata kwa urahisi zaidi.
Hakukupenda wewe kama wewe. Kama angekua amekupenda wewe,hivo vitu vyote unavyomlazimisha kufanya angekua yeye ndo anakulazimsha akufanyie , Angela mani...
Kutolia unapopitia magumu si ishara ya uanaume au ukomavu, sometimes tunalia kupunguza machungu si kwa sababu kwamba tumekua wadhaifu saana,Lahasha.
Ila ukweli ndo huo ulio usema "wanaume tumekua wahanga wakubwa sasa kwenye suala la mahusiano na mapenzi Kadri nyakati zinabokwenda mbele"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.