Recent content by unirated

  1. U

    Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

    Anaeuza german shepherd watoto njoo dm au weka namba nkucheki
  2. U

    Makadirio ya Gharama za ujenzi wa Ghorofa 1

    Uliza wewe mkuuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] atakua anajenga kijazi interchange huyo
  3. U

    Naomba mnisaidie gharama za finishing nyumba kama hii

    Mkuuu tunaomba na 3d ya ramani kama hutojali
  4. U

    Naomba kujuzwa gharama za msingi kwa nyumba ya ghorofa moja

    Depending na size ya jengo yes Ila ukiwa na hio 35m nyumba ya chini kama hutaki mbwembwe unahamia kabisa
  5. U

    Naomba kujuzwa gharama za msingi kwa nyumba ya ghorofa moja

    Mbao 4by 2 na 1 by 6 unazo uniuzie boss??
  6. U

    Natafuta marine board kwa ajili ya ujenzi DSM

    Boss tunaweza pata namba za hawa watu
  7. U

    Naomba kujuzwa gharama za msingi kwa nyumba ya ghorofa moja

    Kwenye columns na nguzo tunatumia nini kama mbadala wa mm16
  8. U

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Goba Kulangwa

    Akigoma njoo nkupe 600sqm mabwepNde
  9. U

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kisesa Mwanza

    Habarin ya asubuhi Nauza shamba kisesa mwanza Ukubwa wa 70m kwa 90m karibu ekari na kitu kipo mita 500 toka barabara iendayo Usagara. Bei ni 7m
  10. U

    Natafuta kiwanja shamba budget yangu milioni 3 na nusu

    Kuna 30 by 20 bunju mabwepande kama waitaji pamepangwa vizur
  11. U

    Natafuta kiwanja shamba budget yangu milioni 3 na nusu

    Hiko 35 by 35 kipo wapi
  12. U

    Kwa wenyeji wa Lushoto Tanga

    Boss ulifanikiwa?? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom