Recent content by Ungele Dee

  1. U

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwl wa msingi nipo Bagamoyo kwa 4yr, nahtaji kwenda Kibaha mji'. #0719006293 #
  2. U

    Kodi ya SimCard sasa kuanza mara moja!

    Dah! TANZANIA unatupeleka wapi waja wako? Viongoz hebu iweni na huruma kwa sisi wananchi wa pato la chini. Mbona vyanzo vya mapato ni vingi mno ktk Tanzania yetu yenye neema! Ah, haya bwana.
  3. U

    Rwanda yalegea, malori ya TZ yaruhusiwa

    Angalau sasa mambo yamekaa sawa,nilishtuka sana kuskia tozo za barabara kwa 'malori ya tz' kwenda Rwanda zimepanda ghafla kutoka dola 152 had 500?! hongera Jf hongera NW Bw Tzeba
Back
Top Bottom