Kuna jamaa yangu amefanya kazi sekta binafsi kwa miaka 12, tangu mwaka jana afya yake ilianza kuleta changamoto mpaka siku nyingine kushindwa kwenda kazini. Anatamani aache kazi,ikibidi achukue chake mapema kwa faida ya familia yake.
Je,inawezekana kupewa chake baada ya kuacha kazi? maana...
Mimi niliuza kiwanja changu kizuri sana baada ya kugundua jirani zangu wawili ni askari polisi. Haya majamaa hayahaminiki kabisa...kukuangushia jumba bovu ni sekunde tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.