Recent content by Undetectable

  1. Undetectable

    DOKEZO Fao la Kujitoa limerudishwa kisheria, kwanini NSSF hamtangazi? Kwanini mtu akitaka hela zake zote (Lump Sum) anazungushwa?

    Kuna jamaa yangu amefanya kazi sekta binafsi kwa miaka 12, tangu mwaka jana afya yake ilianza kuleta changamoto mpaka siku nyingine kushindwa kwenda kazini. Anatamani aache kazi,ikibidi achukue chake mapema kwa faida ya familia yake. Je,inawezekana kupewa chake baada ya kuacha kazi? maana...
  2. Undetectable

    Kwa kauli hii ya Tundu Lissu kuna ulazima wa kufanya maboresho makubwa kwenye Jeshi la Polisi

    Mimi niliuza kiwanja changu kizuri sana baada ya kugundua jirani zangu wawili ni askari polisi. Haya majamaa hayahaminiki kabisa...kukuangushia jumba bovu ni sekunde tu.
  3. Undetectable

    Tafakari na picha

    Hakuna shida..haya matukio yanatokea kwa mipango na makusudi maalum.
  4. Undetectable

    Huyu mwamba alilia sana kwenye msiba wa Raisi Magufuli

    Nasikia huyu jamaa kwao ni Mtwara!
  5. Undetectable

    GE2025 Dkt. Bashiru ajitenga na Polepole, asema awamu ya 6 inafanya vizuri zaidi

    Lukuvi anayo mengi ya kusema,lakini anaogopa kulishwa sumu.
  6. Undetectable

    Hekaya za Polepole vyaanza kudoda

    Yaani nikose kumuamini Pole pole anayezijua hadi kona zote za Ikulu nikuamini wewe mvimba macho wa Itilima ndani ndani huko!
  7. Undetectable

    “The birds will be flying high tomorrow”

    Nimekumbuka ghafla zile "Punch" za chuoni.
  8. Undetectable

    Nimekubali bora nigharamikie tu lakini kamwe sitakuja kununua malaya

    Umemaliza kila kitu..uzi ufungwe! Changamoto ni kwamba,kuwalinda ndio kipengele haswaa.
  9. Undetectable

    Ummy Mwalimu: Allah ndie mpangaji na alipangalo ni bora kwetu. ALHAMDULILLAH

    Aliongea nini? binafsi,nilikuwa namkubali.
  10. Undetectable

    Naanza kuamini yale niliyoyahisi mwaka 2021!

    Ipo siku kuna mtu au watu watakuja kumwaga ushahidi mchana kweupee.
  11. Undetectable

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mamelodiiiii😁😁 nshakosa pesa ya weekend.
  12. Undetectable

    Tetesi: Tetesi za usajili wa dirisha kubwa ligi kuu Tanzania bara 2025/2026

    Felakuti nekiwaa Osonakoluna,osonakoluna
Back
Top Bottom