Recent content by Undeceteris

  1. U

    Nimechanganyikiwa nisaidieni

    Ridhika kijana,mi mwny nmelipiwa ada lak 4 tu,chuo hichohicho bt coz ni uchumi,ila ntajikaza kiume
  2. U

    Nimechanganyikiwa nisaidieni

    Duh halo mbaya,mi mwnye nmelipiw ad 400500 out of 1100000
  3. U

    Niulize chochote kuhusu HESLB, NACTE na TCU

    Kwann mwaka huu mkopo ad tar ya Leo hawajato,kuna nn?
  4. U

    Naombeni kujua ajira na fursa za kozi ya Bacheror of Economics

    Naombeni kujua ajira na fursa za hip kozi tajwa,bacheror of economics zaman n bachelor of business economics pale MoCU
  5. U

    Swali Physical Geography

    kwanza lazma ujue kuwa bahari ilikuja baada ya mpasuko(kutokea kwa mabala) ,kulingana na mpasuko huo ambao ulitokana na mgandamizo wa aridhi ndipo maji yakapenya kwenye hio mipasuko Leo hii ndo tunaita bahari,maziwa ,mito nk,pia ardhi haielei juu ya maji ispokuw maji yapo juu ya ardhi,
  6. U

    Nahitaji msaada kuhusu kozi hizi

    Niko vzur tu Ila nmepangiwa moshi(ushirika) inaitwa bachelor of economics
  7. U

    Nahitaji msaada kuhusu kozi hizi

    Vp kuhusu koz ya bachelor of economics
  8. U

    Dawa ya kuondoa mvi kichwani

    Mm nlipokuw na miak 15_22 nlikuw naz zaid ya 10,kwa miak hiy yot nkaw natumia super black zkaw znaongezk tu badae nkaacha Leo hii na miak 26 SNA at 1,japo Mzee Wang naskia kaanz tang primary saiv kichw kzm cheupe (58)
  9. U

    Mdogo wangu kapata Division 2 ya point 1o; asome barchelor gani kati ya hizi?

    Mi nmechaguliwa bachelor of econimics-kaz in zpi wadau?,naomben pia utofaut kat ya bachelor art in economics na bachelor of economics
  10. U

    Nini utofauti kati ya bachelor of Economics na Bachela of Art in Economics

    Nini utofauti kati ya bachela of economics na bachela of art in economics,mm nmechaguliwa mocu -bachela of economics,je nitafanya kaz zipi mbali na kujiajili?
  11. U

    Nini utofauti kati ya bachelor of Economics na Bachela of Art in Economics

    Nmechaguliwa bachela of econimics_moshi,he hii kozi nitafanya kazi zipi ukiachilia mbali kujiajiri,na je utofauti uliopo kati ya bachela of economics na bachela of art in economics ni UPI?
  12. U

    Majina ya waliochaguliwa kwenda Chuo Kikuu yanatoka lini?

    Mbna wanazngua nawek paswed na user name inagoma naomb tovuti yao
  13. U

    Je, kuna uwezekano wa kushika mimba?

    Kwa saiv mzunguk haujakaa sawa,mwz wa7 kaanz rar21 na mwezi huu kaanz tar 11
Back
Top Bottom