kwanza lazma ujue kuwa bahari ilikuja baada ya mpasuko(kutokea kwa mabala) ,kulingana na mpasuko huo ambao ulitokana na mgandamizo wa aridhi ndipo maji yakapenya kwenye hio mipasuko Leo hii ndo tunaita bahari,maziwa ,mito nk,pia ardhi haielei juu ya maji ispokuw maji yapo juu ya ardhi,
Mm nlipokuw na miak 15_22 nlikuw naz zaid ya 10,kwa miak hiy yot nkaw natumia super black zkaw znaongezk tu badae nkaacha Leo hii na miak 26 SNA at 1,japo Mzee Wang naskia kaanz tang primary saiv kichw kzm cheupe (58)
Nini utofauti kati ya bachela of economics na bachela of art in economics,mm nmechaguliwa mocu -bachela of economics,je nitafanya kaz zipi mbali na kujiajili?
Nmechaguliwa bachela of econimics_moshi,he hii kozi nitafanya kazi zipi ukiachilia mbali kujiajiri,na je utofauti uliopo kati ya bachela of economics na bachela of art in economics ni UPI?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.