Recent content by uncle Lee

  1. uncle Lee

    JamiiForums Tanzania Hodi

    ngoja nitoke nije kivingine kwakweli
  2. uncle Lee

    JamiiForums Tanzania Msaada Jose Mara

    ndugu hyo nyimbo nenda google wala upati you tube amna hata huko jaribu utaona kuna nyimbo azipatikan kirahisi mfano hata ile aliimba ali choki mwaka wa tabu nayo utaangaika sana
  3. uncle Lee

    JamiiForums Tanzania Hodi

    sante bro inanifanya hata nataka kubadili account
  4. uncle Lee

    JamiiForums Tanzania Hodi

    sio picha yang bro nilikua naelekezwa kujiunga katka kutuma jamaa akaweka hyo sa nashindwa kuitoa
  5. uncle Lee

    JamiiForums Tanzania Hodi

    sawa kaka ahsante ila picha sio mm na nimeshindwa kuibadili
  6. uncle Lee

    JamiiForums Tanzania Hodi

    hata nimebadili nimeahindwa kabsa
  7. uncle Lee

    JamiiForums Tanzania Hodi

    sasa nishaelewa hy picha nimebadil nimeshindwa ndg
  8. uncle Lee

    JamiiForums Tanzania Hodi

    hellow wana jf mu hali gan mm mgen jmn napenda sana kufatilia mada zenu ila leo nimejiunga rasm ila kuna vitu vunanichanga hasa kwenye hii app ya jf
  9. uncle Lee

    JamiiForums Tanzania Sitaki kuamini!! Yanga ndo imefikia hapa??

    hv ingekuaje yanga ingekua kama enzi zile zA manji na simba uikute ipo on fire kama sasa na azam na yenyewe uoni hata ligi ingekua na mvuto ilaa yote hii ni migogoro inasababisha
  10. uncle Lee

    JamiiForums Tanzania Msaada Jose Mara

    tupo wengu kumbe tunaitaji huo wimbo jamn
  11. uncle Lee

    JamiiForums Tanzania Hodi

    wapi usiku huu ndg na barid hii
  12. uncle Lee

    JamiiForums Tanzania Angalizo: Style ya Mbwa 'doggy style' yadaiwa kusababisha Kansa na Presha

    mmh hii stly ilivo maarufu sasa na inavopendwa mmoja mungu atusaidie tu
  13. uncle Lee

    JamiiForums Tanzania Hodi

    Hellow wana JF mu hali gani mimi mgeni jamani napenda sana kufuatilia mada zenu ila leo nimejiunga rasmi ila kuna vitu vinanichanga hasa kwenye hii app ya JF
Back
Top Bottom