Sitaki kuamini!! Yanga ndo imefikia hapa??

Sitaki kuamini!! Yanga ndo imefikia hapa??

Nabii kibonge

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2018
Posts
277
Reaction score
310
Kweli hii dunia kutesa kwa zamu. Yanga ilokuwa inamwaga mipesa kwa usajili wa wachezaj enz hzo Tp Mazembe kashuha bongo tunaambiwa viingilio bure.

Yanga ya siku hizi ni kituko kwa kweli. Mambo yao yanaend ki kocal local tu et tim kubwa kama hii ndio ya kuwa na sub 2 kweli!??

Inamana wachezaj wa tim B hawapo au maana bado najiuliza

Yanga ndio ya kwenda kumuazima(sio kumnunua) Adam Salamba wa Lipuli kwa ajili ya michuano ya shirikisho??

Kweli kutesa kwa zamu aisee
zechicharito-20180512-0001.jpg
 
wachezaji wamesombwa na mafuriko jangwani.
 
si kuna fedha zjnakuja,hawana wasiwasi subiri usajili huu.
 
Kweli hii dunia kutesa kwa zamu. Yanga ilokuwa inamwaga mipesa kwa usajili wa wachezaj enz hzo Tp Mazembe kashuha bongo tunaambiwa viingilio bure.

Yanga ya siku hizi ni kituko kwa kweli. Mambo yao yanaend ki kocal local tu et tim kubwa kama hii ndio ya kuwa na sub 2 kweli!??

Inamana wachezaj wa tim B hawapo au maana bado najiuliza

Yanga ndio ya kwenda kumuazima(sio kumnunua) Adam Salamba wa Lipuli kwa ajili ya michuano ya shirikisho??

Kweli kutesa kwa zamu aiseeView attachment 774493
Watamkumbuka sana Manji.
Walikuwa wanambeza na kumfanyia figisu lkn watatia akili.
 
Watamkumbuka sana Manji.
Walikuwa wanambeza na kumfanyia figisu lkn watatia akili.
dah inaumiza sana

yaani mpira wa bongo sikuhizi bila kuwa na sponsorship ya uhakika au kibosile mipesa kama dewji au manji ni shida sana
 
hv ingekuaje yanga ingekua kama enzi zile zA manji na simba uikute ipo on fire kama sasa na azam na yenyewe uoni hata ligi ingekua na mvuto ilaa yote hii ni migogoro inasababisha
 
Back
Top Bottom