Recent content by Uncle Joh

  1. U

    Nahitaji mume nipo serious, itapendeza kama akiwa ni mwanasheria

    Ninavigezo japo hujafafanua zaidi nimeku pm tuyajenge
  2. U

    Vodacom Premier League, Simba SC 3-3 Stand United Uwanja wa Taifa, Dar Es Salaam

    hutakiwi kumdharau adui alieamua vita aisee hata kama wewe una mwili kama mlinzi wa diamond na wewe unakamwili kama ka Joti unatakiwa kupambana kabisa huku ukijua unapigana na mwanamme mwenzio. Sasa simba baada ya bao mbili wakaanza madharau matokeo yake ndo hayo
  3. U

    Uzi special kwa ajili ya Kaka yangu Gudume

    Nilitaka tu povu lako mkuu na mrembo wako Demiss, ila kwani mkuu kutoifahamu Dar ni ushamba au kuifahamu ni ujanja? Kama nakuona ulivyokua unatokwa jasho mzee wa kitambaa cheupe imebidi uigoogle kabisa hotel
  4. U

    Uzi special kwa ajili ya Kaka yangu Gudume

    Sina usemi ila sikujua kama ndo wewe ulikua unafanyia mapigo ya chungulia sasa GuDume alikua anazunguka zunguka kwa nini asingetuambia tu show la kibabe lilikua kati yake na mrembo Demiss
  5. U

    Uzi special kwa ajili ya Kaka yangu Gudume

    Kumbe ndo wewe ulikua unapigwa show ya kitambaa cheupe
  6. U

    Uzi special kwa ajili ya Kaka yangu Gudume

    Leo nataka kuona tu povu la GuDume gwa kike na GuDume gwa kiume
  7. U

    Uzi special kwa ajili ya Kaka yangu Gudume

    picha ninayo mkuu nashindwa kuiattach katika uzi
  8. U

    Uzi special kwa ajili ya Kaka yangu Gudume

    Hatari sana mkuu, nilikua namwamini kiasi chake huyu jamaa ila leo ndio hata kale ka uaminifu kangu kamepotea kabisa nabaki kumsoma tu kama mtunzi wa story
  9. U

    Uzi special kwa ajili ya Kaka yangu Gudume

    Leo katika pitapia zangu mitaa ya Mugabe hapa Sinza nikiwa natoka zangu Law School ghafla nakutana na ukuta umeandikwa "Parking at Owner's Risk" ghafla nakumbuka uzi wa brother Gudume na style yake ya kingkiki chungulia. Nimekuja kugundua story nyingi za Gudume ni chai aisee ile hotel hakuna...
  10. U

    Diamond Platnumz achaguliwa na FIFA kushiriki wimbo wa Kombe la Dunia 2018

    American music icon Jason Joel Desrouleaux, also known professionally as Jason Derulo has been entrusted with the singing of the official anthem for the 2018 FIFA World Cup. Derulo is a famous singer, songwriter and dancer who has sold over 30 million singles. The development follows the...
  11. U

    Diamond Platnumz achaguliwa na FIFA kushiriki wimbo wa Kombe la Dunia 2018

    Mkuu umendanganya, sio kweli kuwa ataenda kutumbuiza kwenye kombe hilo ila ni miongoni mwa wasanii kutoka Africa watakaoingiza sauti katika wimbo maalumu wa kombe la Dunia huko Urusu ambo alopewa shavu kuuimba ni Jason.
  12. U

    Vurugu kubwa shule ya sekondari Lyamungo leo tarehe 1 March 2018. Shule yafungwa!

    naona unahamu na basha mjinga wewe, mie huwa sifanyi watu kama nyie peleka shithole yako kwa wajinga wenzio, kwahyo wewe unaona hao walimu walitumia akili au nawewe ni mmoja wao.. Mie sikufundishwa na vilaza kama hao
  13. U

    Vurugu kubwa shule ya sekondari Lyamungo leo tarehe 1 March 2018. Shule yafungwa!

    kweli kabisa, sema walimu wetu hawawezi hata kufikilia kidogo tu
Back
Top Bottom