Recent content by uncle J4

  1. uncle J4

    Lipo kusudi kwa hilo unalopitia

    Muda mwingine mtu kuwa katika maisha yako akawa ni mtu tofauti na ulivyotegemea usibadilike na kuwa mtu wa tabia zake. Jifunze kitu kutoka kwa mtu huyo in a positive way itakusaidia katika safari yako hujo mbele unakoelekea maana linalokutokea leo ni kwa ajili ya maandalizi ya kesho.. Pay...
  2. uncle J4

    Kwanini akuache

    asante mkuu
  3. uncle J4

    Kama Mkristu Mkatoliki Naomba Unishauri!

    Baki na imani ya kanisa katoriki ndugu achana na propaganda zao hao watu maana hata hao wanaodai wamelowea katika madhehebu mengine wametoka na chimbuko la kanisa mama kanisa katoriki.
  4. uncle J4

    Kama Mkristu Mkatoliki Naomba Unishauri!

    kila la kheri mkuu na karibu sana
  5. uncle J4

    Kama Mkristu Mkatoliki Naomba Unishauri!

    Fanya hivi ipo namna unayoweza kufanya na kupata hizo skaramenti kama unania.. nenda ofisi ya paroko unaposali muelezee kuna namna anaweza kukusaidia kwa kukuunganisha na mafundisho ya wakate kumeni kama unawajua au maana yake ni mafundisho ya watu wazima wanaopokea wakati wa mkesha wa x-mass...
  6. uncle J4

    Kwanini akuache

    Sawa mkuu
  7. uncle J4

    Ukiona majibu haya jipange kuyaepuka

    Wasalaam.. Mwanamke Akikujibu SMS yako Hivi Acha Haraka Sana Kuchat Nae Ukiona umemtumia mpenzi wako/mchepuko wako/ au hata rafiki wa kike wakati mwingine SMS ya kawaida tu kwaajili ya kumsalimia lakini yeye akakujibu moja kati ya majibu yafuatayo, tafadhali sana usiendelee kuchat nae maana...
  8. uncle J4

    wanawake wanaolalamika wanaume ni waongo

    Mwanamke akifanya yote hayo unayohitaji kufua na mengineyo unamwambia atakae muoa atapata raha sana kwa maana ya kuwa wewe si muoaji.. na ndio maana madada wengi wamebadilika.
  9. uncle J4

    Maswali nisiyoyapenda kuulizwa na mwanamke baada ya kujamiana

    utamfanyia kama hivi mwanamke mwingine?
  10. uncle J4

    Msaada: No service kwenye simu yangu

    natumia LG K-120 inasumbua sana katika kudownload apps na hata ukidownload pia zinajistoped kla mara
  11. uncle J4

    Msaada: No service kwenye simu yangu

    ndugu nami simu yangu inatatizo kama hilo
  12. uncle J4

    Mpenzi wangu anamsifia mwanaume mwenzake ambaye ni mpenzi wangu mwingine

    Hapo ndipo wanaposema "usishangae siku MBUZI kumla MCHUNGAJI". Ngoja tuone tembo anavyo kula pera
  13. uncle J4

    Kwanini akuache

    Usishangae kwanini amekuacha na kwenda ila jiulize ujasiri kaupata wapi? Ukishalijua hilo jichunguze kuona ulikosea wapi ama yeye alikosea wapi na ukishaligundua hilo basi usisononeke bali jipongeze kwani huenda ungebaki nae ungeumia.. Kwani ni kheri aombae msamaha mara kwa mara kwa kosa jipya...
  14. uncle J4

    Sikitiko la MOYO

    Kila mtu na jinsi na jinsi anavyopokea upendo katika moyo wake, na ndio maana kuna mtu akiachwa anajiua na kuna mwingine anacheka tu na maisha yanaendelea.. Namna unavyoweza kujisikia wewe kuhusu uwezo wako wa ku_hundle hisia zako kali za mapenzi ni tofauti sana na wengine. Usi_judge watu...
  15. uncle J4

    Hiv hiki kitu kimekaaje

    Si kweli bali sisi wenyewe tumekuwa tukijafanya hatutaki kuona wala kusikia kwa yatokeayo katika mapenzi
Back
Top Bottom