Recent content by Uncertainty

  1. U

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco Igunga kuna tatizo gani hakuna umeme toka Jana Na hakuna taarifa yoyte Sent using Jamii Forums mobile app
  2. U

    JamiiForums Tanzania Chemsha bongo kidogo hapa

    20 Sent using Jamii Forums mobile app
  3. U

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari ya jioni Tanesco nimenunua umeme wa Tshs 9150 kwa mita namba 24212170070 kupitia NMB Mobile ,sasa ni Massa sita sijatumiwa token naomba msaada niko gizani Sent using Jamii Forums mobile app
  4. U

    JamiiForums Tanzania Kama unataka kujenga Fensi/Uzio pitia hapa tujuzane

    Mie kiwanja changu sqm 680 Niko kanda ya ziwa naomba hesabu tuone tunafanyaje kazi hiyo
  5. U

    JamiiForums Tanzania Je, umewahi Kujiuliza nini lengo la mfuko mdogo mbele ya Suruali ya Jeans?

    Hapo ni spesheli kwa zana za kivita
  6. U

    JamiiForums Tanzania PC Dell Latitude E 4310 Inauzwa

    240 chukua
  7. U

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Lenovo thinkpad l540 for sale

    Chukua 280,000/= Faster
  8. U

    JamiiForums Tanzania Nauza HP Pavillion Note Book

    500000
  9. U

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kusomeshwa unahitajika haraka

    Mods naomba muufute Uzi huu please
  10. U

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kusomeshwa unahitajika haraka

    Yote nayo post ni kwa niaba yake
  11. U

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kusomeshwa unahitajika haraka

    Dah nimeshindwa kufanya mitihani imeanza Leo [emoji17] [emoji17] [emoji17] [emoji17]
  12. U

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kusomeshwa unahitajika haraka

    Hapana sikwenda kabisa niliamini Mawazo ya Baba Mdogo
  13. U

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kusomeshwa unahitajika haraka

    Habari zenu natumai mko salama..... Ninaomba kwenda kwenye lengo la Uzi huu Mimi ni kijana yatima (wazazi wangu walifariki nikiwa mdogo) kutokea mkoa wa Mwanza, kwasasa ninasoma chuo kikuu cha Kampala nikichukua stashahada ya Utabibu Historia yangu in kuwa mwaka 2011 nikiishi na baba mdogo...
  14. U

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari ya asubuhi ninaomba kupatiwa manual ya customer interface Unit WHCi04
  15. U

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naona mmekaa kimya wakati watu tumetumia pesa.
Back
Top Bottom