Ni mjumbe mzuri na tunu ya chama kama watamuelewa mapema na kusikiliza kile anachokisema.
CCM ni chama kilicho jaa mafisadi,wabinafsi,wenye fitina kwa hali kama hii ni ngumu kupata mtu atakae mkemea mwingine bila woga na kulinda msimamo wake kwa masirahi mapana ya taifa
Na hili ndio...
Jambo alilolifanya MH Josephat Gwajima ndio linatufanya sisi Wana kawe tuendee kumpenda na kumpa kura zetu za ndio 2025 arudi tena bungeni Kwa kishindo kikubwa
Nakuunga mkono kwa hoja yako nzuri ikumbukwe nje ya luwa na mbunge haitoshi kufanya maendeleo yaje jimboni , pamoja na kelele zote bungeni haitoshi kufanya jimbo kuendelea kama tu serikali haitamuunga mkono mbunge asilimia 80% ya maendeleo ya yanategemea sana serikali iunge mkono hoja ya mbunge...
Kila jambo lina wakati wake Mungu huwainua watu kufanya mambo kulingana na wakati unahitaji watu wa aina gani Mh Gwajima amekuwa mbunge hii haimuondoi kuwa Askofu kazi ya Mungu anafanya na kazi ya kijamii pia anafanya nikupe mfano wa kiroho "Daniel 5 :29 Daniel alikuwa mtu wa tatu katika ufalme...
Inamaana hauelewi hata unacho zungumza hayo yote unayoyazungumza yamefanyika au la! hawakilishi wananchi kawe bungeni ??? Miundo mbinu ipi unaisemea ww zaidi ya barabara zilizo jengwa bunju, mabwe pande , kawe na mitalo iliyojengwa msasani unapotoa hoja uwe na evidence za kutosha umesahau...
Ukisema sema hivyo uwe na hoja ya msingi moja kati ya majimbo yalifanya vizuri Kwa mda mfupi ni kawe Gwajima amefanya mengi ikiwa na kujenga vituo vya afya, barabaran, vivuko vya waenda Kwa miguu ikiwemo baadhi ya maeneo yaliyoshindikana na yaliyokuwa na kero za mda mrefu Kwa wakazi wa maeneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.