Recent content by UMOJA NI NGUVU

  1. U

    Maduka ya Tecno Dodoma mjini yako sehemu gani?

    Nenda barabara ya 6 mkabala na jengo la CCM Makao Makuu.
  2. U

    Mrejesho kuhusu Forex Trading: One step at a time, Safari ndio imeanza rasmi

    Tuko pamoja mkuu. Nadhani watu wa Dom tunapaswa kuanza organisation mapema ili tujue how an' where to meet even the number of willing participants. Nashauri tukutane pm tuyajenge vzr. Ubarikiwe sn Ontario an your team.
  3. U

    Mrejesho kuhusu Forex Trading: One step at a time, Safari ndio imeanza rasmi

    I salute u Mr Jeff 4 your admirable efforts, tangu day 1 nilipoona uzi wako niligundua kitu cha tofauti kwako kwamba u are unique in terms the way u ague an how energetic u are. Nilisema Mungu amekuinua ili uwainue wajoli wake hasa ambao tumekuwa oppressed from economic opportunities, nilisema...
  4. U

    Mbinu ya serikali kutaifisha IPTL na Pesa ya Manji

    Mkuu mbona ueleweki, nini hoja yako?
  5. U

    Natafuta Ng'ombe wa maziwa

    Mkuu mwanzisha uzi huu Mungu akubariki, uzi huu umetufungua macho wengi.
  6. U

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu Ontario don't west your valuable time to answer such person like Mberoya. Let's keep fighting to atain our goals, nia yao ni kututoa kwenye lengo ili tupoteze focus. Forward ever backward never.
  7. U

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Nakuombea na kukutakia mafanikio ili ndoto hii njema itimie. Binafsi nakuhakikishia ushirikiano ukianza kuja mikoani. Wewe ni hazina ya taifa na nyota ya matumaini. Stay blessed.
  8. U

    Kwa wanaomfahamu vizuri mbunge Hawa Ghasia wanisaidie

    Lakini hata alipokuwa UTUMISHI kazi yake ilichangia pakubwa kuvuruga mfumo wa utumishi wa umma.Nadhani alivishwa viatu vikubwa mno kuliko uwezo wake.
  9. U

    Eti alikuwa bungeni na alikuwa waziri kwa miaka yote hii

    Kazi ya ujenzi wa taifa inapaswa kushirikisha watu wote bila kubagua au kukejeli wale wenye misimamo na mitazamo tofauti maana hata kwa hao wanaoonekana wapinzani yapo ya manufaa yanayoweza kusaidia ktk ujenzi wa taifa. TE="BOB LUSE, post: 21606201, member: 203401"]Nyani siku hizi umeshuka...
  10. U

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu si vibaya nami ukiniunga kwenye hilo group ili wote tuelimike na tuje kuwa msaada kwa wenzetu. 0757 72 20 73.
  11. U

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu si vibaya nami ukiniunga kwenye hilo group ili wote tuelimike na tuje kuwa msaada kwa wenzetu. 0757 72 20 73.
  12. U

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu Ontario hiki unachokifanya ndicho Mungu anachopenda watu wake tufanyiane. Nakuhakikishia kama mtumishi wa Mungu kuwa hakika tutafanikiwa. Mathew 5:1-5
  13. U

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Mkuu Ontario pole na majukumu, najua unastrugle kuestablish office lkn vijana wenzako tuko eagerly kupata update japo kujua ulipofikia ili tuanze training then kazi kwenda mbele. Tunakuombea sn ufanikiwe nasi tijikwamue. May the God Almighty protect and succeed all ur plan.
  14. U

    Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    God bless you Ontario. Umesababisha nianze kufuatilia kwa makini uzi wako maana not far away I can see financial breakthrough. Tuko pa1 Mungu akutetee ili nasi tukombolewe kupitia kwako.
Back
Top Bottom