Recent content by umbwa mzee

  1. U

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya Kongamano la Iringa

    KONGAMANO LA IRINGA-4 Naomba niendelee na simulizi hii tam na yakusisimua, sehemu iliyopita tulimuona Ray akiwa bado amezimia. huku Cheni akimpeleka Vai Kwenye kongamano la CHALUFAKITA. Hata hivyo Vai anazidiwa na usingizi na kusinzia ukumbini, akiwa amesinzia anaota ndoto ya ajabu sana. Vai...
  2. U

    JamiiForums Tanzania Mume wangu anapenda tu kifo cha mende

    Tafta kijana mmoja shababi kweli kweli alafu record nae video ya mikao yooote unayoitaka then mpe mumeo aangalie labda atajifunza.
  3. U

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya Kongamano la Iringa

    Tayar n ww tu labda hujaona embu ikague vzr
  4. U

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya Kongamano la Iringa

    KONGAMANO LA IRINGA-3 Naomba niendelee na simulizi hii tam na ya kusisimua. sehemu iliyopita tuilimuona Ray akivamia chumbani alimolala mke wake Vai pamoja na Cheni, huku akiwa ameshika jambia mkononi mwake. Vai anaendelea kusimulia..... Nilitetemeka sanaa, meno yakawa yanagongana na...
  5. U

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya Kongamano la Iringa

    Weye tena tena itabd ya kwenda iwe special kwa ajili yako
  6. U

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya Kongamano la Iringa

    Tayar ipo mezani labda wewe tu ndo hujaona mwendelezo Sent from my D5103 using JamiiForums mobile app
  7. U

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya Kongamano la Iringa

    Iko mpka ya 9 ss Sent from my D5103 using JamiiForums mobile app
  8. U

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya Kongamano la Iringa

    Kesho ukiwa umekaa nyumbani umetulia kabla hujapata cha mchana
  9. U

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya Kongamano la Iringa

    KONGAMANO LA IRINGA-2 Toleo lililopita tulimuona Vai akitafuta sana barua yake bila mafanikio, huku akihofia mume wake kuichukua barua hio. Vai anaendelea kusimulia..... Nililala nikiwa na mawazo mengi sanaa, hata usingizi sikupata vizuri, nilijiuliza maswali mengi sanaaa kwamba je...
  10. U

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya Kongamano la Iringa

    Usjal leo tutaendelea
  11. U

    JamiiForums Tanzania Hadithi ya Kongamano la Iringa

    TAMU NA CHUNGU YA KONGAMANO LA IRINGA. Naitwa Vailet, wengi hupenda kuniita vai, Ni mkazi wa Dar es laam, ilala msimbazi center, huko ndiko ninakoishi na mume wangu mpenzi anaeitwa Ray, ambae tumeona miaka mitau iliyopita, mume wangu anafanya kazi ofisi za TRA Dar. Katika maisha...
Back
Top Bottom