Unaweza kumbadilisha mtu dini halafu usimfundishe au kuwa kielelezo kwake, kwahiyo mtu anaona bora aendelee kupiga [emoji91][emoji91], mfano unambadilisha halafu wewe mwenyewe hata kwenye nyumba ya ibada hauendi unategemea nini hapo, miaka 18, mingi sana kaeni chini myamalize, mambo yakuachana...
Ha ha ha yeye anasema wake wanne (4) wakati wengine mke mmoja mtihani unakuta anamkimbia mkewe kumbe anakimbia shughui ha ha ha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] sheih anasema 4 mbavu zangu
Kwahiyo huko dhambi zinafanana ndiyo maana wanataka kutubu kwa pamoja kama watu wa Ninawi na wanaogopa kuangamizwa kama Sodoma na Gomora walivyochomwa moto.🥲🥲🥲
Sasa kama mtu kajifungua ndani shida nini? Kwahiyo hata wasio funga au wakristo na wao wanafunga Kwa lazima? Hiyo dini utumwa, mnaheshimu mwezi badala ya Mungu, ujue Mungu mwenyewe si mkatili kiasi hicho! Watu mnapekenyua mpaka vya ndani duu[emoji15][emoji15][emoji15] poleni mlioko huko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.