Mkuu ongeza nyama kidogo. Unafundisha python library or data analysis??
Mfano: pandas - tutatumia kufanya kitu gani, numpy tutatumia kufanya nini pamoja na mifano
Ili taifa lina watu wajinga sana. Mtibwa, Kagera na TPC huwa vinazalisha umeme wa mvuke wenyewe kutoka kwenye mabaki ya miwa. Kilichotokea kuko mtibwa ni mitambo yao (bomba) wa kisafirisha mvuke lilipata italafu. TANESCO haihusiki na jambo hilo.
Kijana jifunze kufatilia mambo acha kukurupuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.