Recent content by ULIMWAKI

  1. U

    Nani anaiua CUF je ni CCM, viongozi wenyewe wa CUF au wananchi au muda wake umefika?

    Kwa kuwa CDM mshauri wake mkuu ni Kadinali Pengo ngoja tuone hatma yake nacho...2015 si mbali.
  2. U

    Live Bungeni: Mbowe kwa niaba ya kambi ya upinzani wamekubali yaishe

    Ndoa ni mchakato mreeeeefu sana. Huanza kusalimiana Kupewa Offer na kukaribishwa Juice Na hatimaye kutamka hivi... ''MBOWE amesema kwamba wanakubali ili yaishe kwa lengo la kutengeneza katiba mpya kwa manufaa ya wananchi'' Hawa ndio wana Si- Hasa wetu bwana.... Uli.
  3. U

    Kikwete atua Dodoma na kupokelewa na Hamad Rashid

    Kumbe walianza hawa jamaa..na jinsi Asiyebahatika kuwa Raisi anavyotabasamu...duuh!
  4. U

    Wlliam J Malecela: Kachukue Dodoma Mjini 2015

    Hapana sie ES..... huyu ni yule kinyonga anayejibadilisha majina tu...utamjua kwa lugha zake na tamathali zake za semi..mindhali...not only..of all people...huyu jamaa kiboko.
  5. U

    Blandina Nyoni kujiuzulu?

    Hivi wewe ndugu huna kazi kweliii....kazi kushinda mtandaoni nakuandika majungu,umbea na uzandiki huku ukibadili majina (IDs).... Ume google na kupata barua aiyoandika Secretary of Defence wa Uingereza na ukaandika kingereza cha kwenu ukasingizia ni barua ya Blandina. Sote tunakubaliana kama...
  6. U

    Mama Rwakatare aichongea JamiiForums

    Mh!, Mchungaji, Dr. Mama Lwakatare, (Mb)
  7. U

    basi la azam fc

    Big up Azam
Back
Top Bottom