Live Bungeni: Mbowe kwa niaba ya kambi ya upinzani wamekubali yaishe

ok, ni sawa much respect DR.MBOWE, ila mi maoni yangu nitayapeleka kwa DED, af labda ye ndo ayapeleke kwa huyo Fatma Kimario
 
lakini kwanimwisho wa siku nani atasumarize hayo maoni? Hapo ndo pa muhimu. kwa sababu mi naamini watu tutatoa maoni sana lakini mengine yatatupya jalalani
 
angefanyaje sasa mana mwisho wa siku wangeambia wanaokubali maDC waingizwe waseme ndiyooooo (ccm) wasiokubali waseme siooooo (chadema) lazma watakaosemda ndiooo watashinda kwa wingi wao

hicho ndicho kinachoniboa bungeni..hizo ndiooo na siyo zitakuja ku work pale tu magamba watakapoacha ushabiki...vinginevyo hakuna kitu pale.
 
MBOWE amesema kwamba wanakubali ili yaishe kwa lengo la kutengeneza katiba mpya
kwa manufaa ya wananchi. Hata hivyo anasema wabunge wa CCM waache utaratibu wa kufunika
kombe ili mwanaharamu apite.

Hii ina maana kwamba ma DC na ma DED watahusika wote kwa pamoja katika mchakato
wa kukusanya maoni ya katiba mpya.

Ndoa ni mchakato mreeeeefu sana. Huanza kusalimiana

images


Kupewa Offer na kukaribishwa Juice

images




Na hatimaye kutamka hivi... ''MBOWE amesema kwamba wanakubali ili yaishe kwa lengo la kutengeneza katiba mpya
kwa manufaa ya wananchi''

Hawa ndio wana Si- Hasa wetu bwana....

Uli.
 
Kikubwa hapa ni kuwaomba ma DC na Wakurugenzi kuacha ushabiki wa kisiana kama upo linapokuja swala la Katiba, wawe fare kwenye huu mchakato na ndio maana hata Serikali ilipoleta huo mswada Bungeni uliwatoa ma DC

MA-DC ni wana CCM hawawezi kuwa fair hata kidogo! Labda MA-DED ingawa nao ni watumishi wa serikali
 
kiukweli ni watu wachache wanaoijua katiba kwahiyo kuikosoa inakuwa ngumu..jamani tukaelimishane huko mtaani hili watanzania tuamke tujue nini kinatufaa na nini hakitufai.nchi ni yetu sote na watoto wetu ebu tuhakikishe katiba iwe ina tu favour sisi wananchi na sio watu wachache
 
Back
Top Bottom