Ndugu wana JF habari za majukumu ya kulijenga Taifa letu , mi ni mmoja wa wadau amabaye nilijikita sana kwenye kilimo cha umwagiliaji mpunga pale Dakawa kwa sasa nataka kupunzika na kuku wa kienyeji na Kisasa ...
ishu ipo kwenye kudizaini Banda lao ..
1. Naomba kuuliza Je naweza niakawachanganya...
Najiuliza sana ila sipati jibu la hii serikali ina mpango gani na raia. Leo imekataza semina, kushusha madaraja na kustopisha mpaka ukaguzi hewa kwa wafanyakazi hewa upite hususani kwa waalimu na wafanyakazi wa serikali.
Nimekaa nikawaza nikaona sio kesi ngoja nifanye biashara nijiongezee...
NMb sijawaelewa kabisa nilienda mwezi wa sita kukooa nikawaonyesha salary slip inamakato wakakataa kunikopesha mpaka nimalize deni nikajitahidi nimalize deni nichukue mkopo niende, shamba ile nafika tu wanadai eti hatukopeshi tumepewa barua na serikali mpaka hapo baadae
Hawa jamaa wa utumishi sometimes huwa nawashangaa sana inamaana kwenye wale watu elfu 3300 wa NAO mwaka jana ambao walichujwa na kubakia 330 wakaenda computer practicle 270 na wote wakaenda oral ambapo matokeo yake walichukua watu 100 then wkachukua 67 inamaana kwenye server yao hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.