Hawa wakuu huwa wanaangalia sura ..na msimamo wa mtu.. umekaaje Kama wakikuona unamisimamo lazma wakuite na kukusogeza vizr..ukikaa kinyonge kazini lazma unyanyasike tu.
Bado kazi ipo huku msingi walimu wanavipindi 200 kwa wiki..unasema walimu wametoshaa Ummy acha biashara..hizoo..ajirini watu shauri yenu 2025 mtakiona.
Shida kubwa ya wateuzi wetu wanaangalia kupitia TV, kwahiyo mwalimu ni ngumu kumuona had wafanye savey mashuleni kila Mara..mbali na hapo haitatokea mwal kupewa teuzi yoyote ya juu.
Dah..jamani watoto wa maskini ndo tunaoumia Sana na hili swala la ajira mtu alisoma ualim akiamn mapema Sana atapata ajira lakin dah..Basi kaziiendelee hakuna namna.komaa utapata tu kijana .
Ushauri tu kwa serikali yangu ya CCM,wahitu wote wa shahada na stashahada ya ualimu wa masomo ya arts.
Serikali ione aibu Hawa watu imewatenga sana, na hili ni bomu ambalo siku limelipuka CCM hamtaamni.
Kama hakuna umhimu wa masomo hayo Basi ni Bora kozi hizo zifutwe vyuoni kuliko...
Hoja yako ni ya msingi Sana mkuu,ajira zinatangazwa na kigezo kikubwa Cha kupata uwe unajitolea kiukweli hapo wanaumiza Sana unajitoleaje bure ,mda huo unakula kwa Nan,familia yako inaishije,kiukweli hapo serikal bado inahji kubadili mfumo huo..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.