Ushauri tu kwa serikali yangu ya CCM,wahitu wote wa shahada na stashahada ya ualimu wa masomo ya arts.
Serikali ione aibu Hawa watu imewatenga sana, na hili ni bomu ambalo siku limelipuka CCM hamtaamni.
Kama hakuna umhimu wa masomo hayo Basi ni Bora kozi hizo zifutwe vyuoni kuliko kuendelea kuwapotezea mda vijana hao,Serkali liangalieni hili jaman wimbi Hilo limekuwa kubwa Sana mtaani. CCM oyeee.
Asanteni Sana.
Serikali ione aibu Hawa watu imewatenga sana, na hili ni bomu ambalo siku limelipuka CCM hamtaamni.
Kama hakuna umhimu wa masomo hayo Basi ni Bora kozi hizo zifutwe vyuoni kuliko kuendelea kuwapotezea mda vijana hao,Serkali liangalieni hili jaman wimbi Hilo limekuwa kubwa Sana mtaani. CCM oyeee.
Asanteni Sana.