Membe alimpa nafasi kwamba aende kwenye magazeti yake akamsafishe lakini Musiba alikataa,na kusema siwezi kumuomba msamaha mtu yeyote.Sasa unafikiri Membe atafanyaje hapo?.
Unaambiwa kuna kutoa sadaka inaitwa ya "kujimaliza" hiyo unatakiwa utoe hela yote uliyokuwa nayo mfukoni hadi nauli na watu wanatoa.Hawa watu sijui wana dawa?.
Huyu hafai kuwa kiongozi ana vinasaba vya kujipendekeza sana ni jamii ya wale viongozi vijana wa kipindi cha Mwendazake.Kwa taarifa yako huyu alikataliwa na Wajumbe alipata kura moja hafai huyu.
Mbona uhoji ile 1.5 tn imekwenda wapi
Na kwanini huyo huyo Job unayemtaja kuwa ni msrma ukweli alikataza huo mjadala wa hiyo hela usijadiliwe bungeni?.
Mh. Mimi sina GOVINDA je unaweza ukanibariki maana umetoa tahadhari kwa Wanawake na wewe kama kiongozi wa kitaifa inamaanisha ni wanawake wa nchi nzima ukiwepo na wewe, sasa ili usionekane kama umebagua kikundi fulani ndiyo maana nimelileta ombi langu kwako naomba ulibariki.
Hili la kuwasema.viongozi wastaafu ndiyo leo limekuuma siyo, mbona hukuwahi kukemea kipindi kile wakati Ally Happy anawatukana wastaafu,S.Musiba wakati anawatukana wastaafu ulikemea?.Kwahiyo unataka kusema bahari haijatulia kwa maana na vitisho, kutukana watu kwenye majukwaa na lugha chafu kama...
Huyu mwanamke ameshapata bwana tena ni huyo mchungaji wake wa kilokole,haiwezekani pesa zote apeleke kwa mchungaji halafu ukiulizwa unasema bora tuachane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.