Nikikupenda nitafanya kila lililo ndani ya uwezo wangu ufurahi na nikutimizie mahitaji yote. Hata kuiba nitaiba ili nikutimizie mahitaji yako na ufurahi. Litakapo kuja suala la kuchepuka siyo lazima ila nikitereza haitamaanisha sikupendi everlenk.
Mwanaume anaweza akawa na mwanamke anaye mpenda sana lkn bado akachepuka. Na mwanaume anayempenda mwanamke wake utaona kwa vitendo vyake kwa huyo mwanamke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.