ha ha ha ha ha uuupsi ivi malaya unaosema ni wapi????kina nani???anayejiuza ohio,kimboka or????o!!!!!!
mbona watu kibao malaya wa kimya kimya hawafanyi advertisement,hawana promotion waala offer.....
mwanaume kwenye simu anadate na six gal je hyo sio malaya
mwanamke ana wanaume kadhaa,kuna wa pesa,mwngine ana body ya kutoka out,mwingine kazini je huyo nae
ni vigumu sana kumjua malaya kwa maana moyo wa mtu ni kiza kinene chenye kutunza siri MUOMBE MUNGU AKUPE MKE/MUME BORA.....
kuchepuka kwa mtu ni tabia yake hta umfaye nn kama wa kuchepuka atachepuka tu