Recent content by ukwajumtamu

  1. U

    Huyu DED wa Geita TC, Zahra Michuzi ni Mtoto wa Issa Michuzi aliyekuwa Mpiga picha wa Ikulu?

    Hivi Umeelewa hata tittle ya Uzi kweli? Mbona sura yako haifananii na ulichoandika hapo
  2. U

    Maafisa wa zamani wa Idara ya Upelelezi nchini Gambia wahukumiwa kifo

    Kisa cha Gambia kinanikumbusha kupotea kwa Ben Saanane na kina Azory Gwanda. Baadhi ya Tawala za Afrika ni ngumu sana kusurvive kwa wanaharakati wapingao serikali au wapingao viongozi walioko madarakani. Ni suala la muda haki itapatikana tu, iwe hapa duniani au ahera
  3. U

    Nahitaji mke wa pili

    Hakuna migogoro. Ni kuzisimamia nyumba vema hapo migogoro ni ngumu kujisogeza
  4. U

    Natafuta mume

    Ni kizazi cha Facebook na insta kilichohamia huku. Wapuuzi kwelikweli. Zamani hii page ilikuwa serious kwelikweli na wengi walipata wenza hapa siyo siku hizi full kukatishana tamaa
  5. U

    Nahitaji mke wa pili

    Habari zenu waungwana. Mimi ni mume mwenye watoto kadhaa. Nahitaji mwanamke aliye tayari kuwa mke wa pili. Awe na umri kuanzia miaka 30 hadi 40. Naamini humu wapo wanawake wanaohitaji stara. Karibuni PM
  6. U

    Arusha dating

    Oooh,okay.Great.
  7. U

    Natafuta mke,umri wake usizidi 33

    Sinywi pombe na sijawahi.Mimi mweusi nina kimo cha kawaida siwezi itwa mrefu au mfupi
  8. U

    Natafuta mke,umri wake usizidi 33

    Ligera umenivunja mbavu sana
  9. U

    Natafuta mke,umri wake usizidi 33

    Naamini mke au mume anapatikana popote,kumbuka watu wamekutana vyuoni,mahospitalini au kaunta za bar miezi kadhaa mbele wakaoana.Hili ni jukwaa maalum kwa ajili yetu.Wenye nia nawakaribisha pm naamini huko tutafahamiana vema
  10. U

    Natafuta mke,umri wake usizidi 33

    Anafaa.Nadhani yule hajavuka 33
  11. U

    Nimhitimu wa chuo natafuta mke wa kuoa, lakini bado sijapata kazi

    Wenye nia ya dhati utawapata.watu wasikukatishe tamaa
  12. U

    Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa

    Jf tamu sana
  13. U

    Nahitaji mwanaume wa kunioa, awe na nia ya dhati na mapenzi ya kweli

    Usihofu dadangu,mume utampata hapahapa.Nakufuata pm soon
  14. U

    Natafuta mke,umri wake usizidi 33

    Mimi ni mtumishi serikalini.Natafuta mke umri wake usizidi miaka 33.Awe dini yeyote.Angalau awe na elimu ya certificate yoyote ile.Nina elimu ya shahada moja.Sichagui kabila. Aliye serious anipm tutawasiliana zaidi.
Back
Top Bottom