Nakubaliana na ww mkuu,tena kama huku kwetu utaambiwa utoe kitanda,kabati,dresing table,na godoro na kama havijatimia mwanamke atakununia,lkn aliyembikiri pengine kampa chips kuku tu.
Jamani mm kwa maono yangu aliyebikiri ndie anaepaswa kulipa zaidi,kwa sababu muhusika anajulikana,na aliyeowa mwanamke ambaye si bikra,basi itakuwa kamstiri tu.
Huyo mwanamke anakufanyia hivyo ili uchoke,na usiwe na mawazo ya ngono.
hata mimi hufanyiwa hivyo na mke wangu mkubwa ili kunikomoa,kakusudia nikienda kwa bi mdogo akute mambo hayawi.ndivyo walivyo baadhi ya wanawake .Lkn mm nimeligundua hilo.
Nakumbuka mke wangu kabla ya kumuowa nilimkuta ana namba za cm nisizozielewa,nikimuuliza hunambia ni marafiki zake tu.
Nikaona hakuna urafiki wa mwanamme na mwanamke.
Nikampiga stop kuwasiliana na o
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.