Ndiyo mana mimi kwenye simu natumiaga third part app then nabadili zisome kwenye mbps na siyo MBps ili roho yangu irizike nione live speed ninayoipata,, by default ile feature ya simu inasomaga MBps huwa siipendi naona bora nitumie hizo third apps
Kama kichwa Cha hbr kinavyojieleza, mwenye uzoefu na hicho chombo Cha usafiri hasa ktk mizunguko ya kawaida town (mwanza)
Matumizi ya mafuta
Pamoja na changamoto zingine kama zipo.
Karibu.
Wakuu habari zenu
Ningependa kujua ama kufahamu kwa mwenye uelewa kuhusu jinsi makampuni ya simu yanavyolipa pale wanapokuwa wamekodi/wameweka mnara wao kwenye eneo lako.
eneo ni dsm: juu ya ghorofa
mnara ni halotel.
Shangaa!!
Kuna mwamba humu humu kwenye majukwaa ya jamii forum hakuwa na tamaa yeye alifanya kazi nikaja kumlipa baada ya kazi.. Tena ilikuwa router ya 5G
Uaminifu alioufanya na kuniamini nilimlipa zaidi.
Mpaka leo Yule jamaa amekuwa MTU wangu wa nguvu.. Siyo hizi takataka zenye njaa za k***ge
Jamaa nilimpigia simu tukapeana maelekezo then akaniambia gharama ni elfu 12.. Nimtumie ili aweze kupata data za kudownload file/software
Nilipomtumia badala aseme amepata.. Ikawa mpaka nimpigie Mimi.
Nikampigia akasema amepata.. Akaniomba nimtumie picha ya details ya nyuma ya MiFi whatsapp...
Mimi kuna mwamba humu humu kwenye majukwaa ya jamii forum alinisaidiaga ku-unlock router yangu.. Tena anakuelekeza mwenyewe mnafanya kwa kutmia simu yako.
Habari wana jamvi..
Hivi karibuni nategemea kufanya wiring kwenye mji wangu, lakini kuna mdau alinipa taarifa kuhusu vifaa vya tronics, kuwa kwa sasa tronic inazlishwa na mchina hivyo uhakika wa ubora ni mdogo.
Akawa amenigusia kuhusu Havells akidai kuwa kwasasa bado inazalishwa na mhindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.