Recent content by Ujuja

  1. Ujuja

    JamiiForums Tanzania Nimekata tamaa sana nakufikia kuona kifo ndio suluhisho

    Sio mimi nilieandika huu uzi but umeniMOTIVATE pakubwa mno mimi hapa. Everything's gonna be alright🙏
  2. Ujuja

    JamiiForums Tanzania Natafuta mganga wa kienyeji konki

    Achana na mganga twende kwa Mwamposa jumapili, utakuja kutoa ushuhuda hapa.
  3. Ujuja

    JamiiForums Tanzania Mungu wa upendo aliwaumba kunguni, nzi na mbu waje kuwatesa kwa magonjwa watoto wake wapendwa

    Huyu baba leo kaamka na battle dhidi ya Mungu isitoshe anaiwekea battle nguvu ya asili na Supreme being maana anaeleweshwa haelewi. Sasa ngoja kimlambe asubuhi hii au mchana. Utatuletea mrejesho.
  4. Ujuja

    JamiiForums Tanzania Mungu wa upendo aliwaumba kunguni, nzi na mbu waje kuwatesa kwa magonjwa watoto wake wapendwa

    Utume ni kiungo gani? TUELIMISHANE
  5. Ujuja

    JamiiForums Tanzania Mungu wa upendo aliwaumba kunguni, nzi na mbu waje kuwatesa kwa magonjwa watoto wake wapendwa

    Alijua kuwa atabadilika ila ikabidi aruhusu yatokee hayo ili kila mtu apimwe imani yake na kama hiyo haitoshi akamtuma mwanae wa pekee YESU aje awatangazie habari njema. Kiufupi aliruhusu yatokee ila akaleta solution (YESU)
  6. Ujuja

    JamiiForums Tanzania Utumishi leo wamenizuia kufanya online written interview

    Imefanyika leo 16/03 Jumapili mkuu
  7. Ujuja

    JamiiForums Tanzania Utumishi leo wamenizuia kufanya online written interview

    Hapo hata mimi nilikuwa nawabana kwa kusema kwamba, mna uhakika gani kuwa nitafaulu huu mtihani? nikifeli je... nia yangu ilikuwa nifanye written tu ila wakakaza
  8. Ujuja

    JamiiForums Tanzania Utumishi leo wamenizuia kufanya online written interview

    Hapana mkuu, si hivyo.
  9. Ujuja

    JamiiForums Tanzania Utumishi leo wamenizuia kufanya online written interview

    Nilimaanisha Private message mkuu, kwa yoyote ambae kama itawezekana kuwa na msaada kwangu.
  10. Ujuja

    JamiiForums Tanzania Utumishi leo wamenizuia kufanya online written interview

    Thanks mkuu, nitajitahidi.
  11. Ujuja

    JamiiForums Tanzania Utumishi leo wamenizuia kufanya online written interview

    Habari wakuu, mimi ni mtanzania mwenye miaka 29. Leo nimeenda kufanya interview ya forest officer II chini ya TFS kituo kikiwa chuo cha TIA. Jambo la kushangaza watu wa utumishi wamenizuia kufanya kwa sababu wanasema mpaka mda ambao nitaitwa kazini (Ikitokea nimepata) nitakuwa na miaka 30...
  12. Ujuja

    JamiiForums Tanzania Dondoo kuhusu ufadhili wa masomo nje ya Tanzania (Scholarship updates)

    Masters of science in forestry mkuu.
  13. Ujuja

    JamiiForums Tanzania Israel washambulia Total Energies za Mfaransa

    Wewe ni mzee wa "Proud of" bila kupepesa macho🤔. Maana sio kwa ulivyoishambulia Israel kwenye hii thread yako.
  14. Ujuja

    JamiiForums Tanzania Mnatumia njia gani kupata visa ya USA na CANADA?

    Kila kitu unacho (Vigezo), bank statement, unajua kujieleza, umesoma (May be)... lakini unakataliwa!!? Jiangalie kuna kosa umelifanya la kuwadharau hao watu pori wa Kigoma ambao umesema hawajui kujieleza na Mungu anakuadhibu pasipo wewe kujua ... TAFUTA PASTOR ILI UTUBU HII DHAMBI.
  15. Ujuja

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Masikini wanachuki sana na mimi tajiri

    To you JF members, hivi mnajua kuwa mkimjibu ndo mnazidi kumpa exposure!!? Just chill guys na uzi wake msiuguse halafu muone kama atakuja kurudi tena humu ndani.
Back
Top Bottom