Nimekaa Znz miaka miwili na ndio nimerudi October last year, shida siku hizi utalipa ushuru Znz na ukifika hapa unalipa tena ushuru Uleule. Karibu lakini utakuja ukubali ninachokisema
Zanzibar wanachukua vitu bongo. Hiyo ilikuwa zamani siku hizi sidhani kama kuna kitu cha kutoa znz.uchumi wenyewe uko wapi wanategemea kuagiza kila kitu? Naomba uniamini
Hata msikitini pia amshukuru Mungu, Mungu wetu ni mmoja Kwa wanadamu wote ubaguzi ni ujinga wetu Tu wanadamu, ndio maana nasaidia bila kujali dini yako.
Habari, utahangaika Sana na dawa za Hospital, nakushauri tumia Maji ya kuoshea mchele yaliyo Safi, kunywa mara 2 Kwa simu. Harafu nenda kanisani kamshukuru Mungu. Nimekusaidia bure sihitaji hata Mia yako, nawe ukipona wasaidie wengine bure.
The Choosing of a Husband or Wife
Marriage is something that will influence and affect your life both in this world and in the world to come. A sincere Christian will not advance his plans in this direction without the knowledge that God approves his course.He will not want to choose for...
19 Bwana Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa msituni, na kila ndege wa angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita Adamu likawa ndilo jina lake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.