Recent content by ujamaajulius

  1. ujamaajulius

    Ni Biashara gani unaweza kutoa Zanzibar na kuuza Bara na ikaweza kukulipa kwa haraka?

    Nimekaa Znz miaka miwili na ndio nimerudi October last year, shida siku hizi utalipa ushuru Znz na ukifika hapa unalipa tena ushuru Uleule. Karibu lakini utakuja ukubali ninachokisema
  2. ujamaajulius

    Ni Biashara gani unaweza kutoa Zanzibar na kuuza Bara na ikaweza kukulipa kwa haraka?

    Zanzibar wanachukua vitu bongo. Hiyo ilikuwa zamani siku hizi sidhani kama kuna kitu cha kutoa znz.uchumi wenyewe uko wapi wanategemea kuagiza kila kitu? Naomba uniamini
  3. ujamaajulius

    Mtungi wa gas wa oryx kilo 32 upo Tanga, nataka tubadilishane na mtu aliye Dar

    Huo wa 30.4 ni Sawa na kilo 15 labda kama unahesabu na tare weight[emoji12]
  4. ujamaajulius

    Mtungi wa gas wa oryx kilo 32 upo Tanga, nataka tubadilishane na mtu aliye Dar

    Kwanza hakuna mtungi WA kilo 32, unazo huwa ni kilo 3,6, 15, na 38, labda hapo useme Una mtungi mpya uliojazwa gesi kilo 15.
  5. ujamaajulius

    Uhamiaji Tanzania

    Siku hizi hati kubwa ni siku tano mpaka wiki Tu unapata.
  6. ujamaajulius

    Uhamiaji Tanzania

    Jiongeze, hati ya kusafiria kubwa unalipia shilingi elfu hamsini. Kwa miaka kumi. Kwa nini usikate kubwa ukakaa miaka kumi bila bughuza?
  7. ujamaajulius

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Hata msikitini pia amshukuru Mungu, Mungu wetu ni mmoja Kwa wanadamu wote ubaguzi ni ujinga wetu Tu wanadamu, ndio maana nasaidia bila kujali dini yako.
  8. ujamaajulius

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Habari, utahangaika Sana na dawa za Hospital, nakushauri tumia Maji ya kuoshea mchele yaliyo Safi, kunywa mara 2 Kwa simu. Harafu nenda kanisani kamshukuru Mungu. Nimekusaidia bure sihitaji hata Mia yako, nawe ukipona wasaidie wengine bure.
  9. ujamaajulius

    Nauza Nyumba

    Bei imepungua Kwa kiwanja hiki, sasa ni million 150 Tu.
  10. ujamaajulius

    Nisaidieni kutegua hiki kitendawili

    The Choosing of a Husband or Wife Marriage is something that will influence and affect your life both in this world and in the world to come. A sincere Christian will not advance his plans in this direction without the knowledge that God approves his course.He will not want to choose for...
  11. ujamaajulius

    Nisaidieni kutegua hiki kitendawili

    Mrudie Mungu Kwanza atakuonyesha.
  12. ujamaajulius

    Dunia ina Umri gani? Mabillioni, Mamillioni, Malaki au Maelfu?

    19 Bwana Mungu akafanyiza kutoka katika ardhi kila mnyama wa msituni, na kila ndege wa angani, akamletea Adamu ili aone atawaitaje; kila kiumbe hai, jina alilokiita Adamu likawa ndilo jina lake.
Back
Top Bottom