Labda nisaidie kidogo mizigo iliyohama ni ya congo na kosa kubwa ni congo kuongizwa kwenye mfumo wa EAST AFRICA wafanyabiashara hawakupenda huo mfumo utumike congo
Jaman naona video ya matangazo ya mgombea mwingine na lowasa halaf tuangalie dakika mm siamin hili naona ni uzushi tuu na chuki Ndio ile ya Malima kusema mengi anajipendelea kwenye taarifa zake yale yalikuwa madai ya kijinga kabisa
Jaman siku hizi kuna mambo ya kisasa huyu jamaa atuonyeshe picha za maandamo ya boda boda kwenda kwa mkuu wa mkoa unajua hakuna msafi labda nimkumbushe kidogo , Membe na kashfa ya pesa kutoka libya na ile kashfa ya Mkuu wa Itifaki kujaribu kuiba bilion tatu akaaunda tume ichunguze matokea...
Mafuta yamefika 1700 kutoka 840 mwaka 2005. Nyama imefika kilo 6000 toka 1800 mwaka 2005 sukar na mchele tola 650 /700 mpaka 2000/2500 maharage mboga ya wanyonge toka 240 mpaka 1500/ yaan hii serikali haina hata huruma mishahara inakopa mifuko ya wastaafu haina pesa TRA kwa mwezi wanakusanya...
Nan ameona kodi yake anayolipa ? Msilete mada zisizo na uhakika kwa hali ilivyo huyo mshahara wake haugusi kabisa anatumia marupu rupu na kamishen zake za mikataba ya majengo
Kaka upo sahihi sana unajua mtu unaweza kuandika jambo lakin likawa halina mashiko hii taarifa yako ni fupi mno ila ina upana wa hali ya juu kias kwamba inatakiwa kuitafakar tuu na kupata uelewo sahihi
Mm kotee huko sipo ila nahoji ile kauli ya mhongo kuwa watanzania hawana uwezo wa kuwekeza kwenye vitali vya gesi ili hali gesi ni yetu ardhi ni yetu huu ni ujinga kabisa
Mm NTAKUWA BA HOJA TOFAUT KIDOGO ILA INALINGANA NA WIZ HUU,KILA MWAKA KUNA WIKI YA NENDA KWA USALAMA MAGAR YANAUZIWA STIKA KUANZIA 5000/NA KUENDELEA SWALI LANGU NI HIZI PESA NANI ANAJUA JUMLA YAKE NA MATUMUZ YAKE NI YAPI MWAKA JUZ ZILIIBIWA STIKA ZA THAMAN YA ZAID YA MILION 300/ SASA TUJIBIWE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.