Recent content by Uhuru24

  1. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Magori ni kama Heche tu,baada ya uongozi wake kuziba upigaji na mianya utopolo kuifunga Simba

    kuchaguliwa isiwe sababu ya kutowajinika,unapoona unapinda njia sio sahihi unakumbushwa
  2. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Anaefahamu namba ya kushusha cheti ajira Portal anielekeze jamani

    SHUKRANI MKUU
  3. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Anaefahamu namba ya kushusha cheti ajira Portal anielekeze jamani

    changamoto sana aiseee
  4. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Anaefahamu namba ya kushusha cheti ajira Portal anielekeze jamani

    ndio nikamwambia atoe muongozo
  5. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Anaefahamu namba ya kushusha cheti ajira Portal anielekeze jamani

    nikifika pale NIFANYEJE nipe muongozo
  6. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Anaefahamu namba ya kushusha cheti ajira Portal anielekeze jamani

    nakupa mfano,kama nataka kuomba ajira za udereva kinakataa Kwa sababu tayari Kuna veti vingine kule.
  7. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Anaefahamu namba ya kushusha cheti ajira Portal anielekeze jamani

    nataka kukiondoa vibaki ambavyo mara nyingi naona nafasi za ajira
  8. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Anaefahamu namba ya kushusha cheti ajira Portal anielekeze jamani

    yaani hicho cheti ninapotaka kuomba kazi naonekana Sina sifa.
  9. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Anaefahamu namba ya kushusha cheti ajira Portal anielekeze jamani

    nashindwa kuomba kazi kutokana na kikwazo Cha cheti kimojawapo kwenye account yangu ya ajira Portal.Maana Kila ninapotaka kuomba kazi nakosa sifa kutokana na cheti kimojawapo kilichopo kwenye account ya ajira Portal. NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWENU
  10. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Miaka michache ijayo wadogo na watoto wetu wataoa makahaba wastaafu

    Kwann mwanamke usipompa Hela yeye anaamini kwamba wewe huna Hela??Kwan kipimo Cha kuwa na Hela ni kuigawa Kwan mwanamke??
  11. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Kuna wanaume nikiwaangalia kwa muonekano wao, najiuliza hivi huyu atapata mpenzi kweli?

    Mwenzetu uzuri wake umempa maendeleo,"NASEMAJE MWENZETU HATUPO NAE KAMA WANAUME"
  12. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Msaada: Naomba kufahamishwa kuhusu umiliki halali wa silaha za moto kwa mujibu wa sheria za Tanzania

    Hapo kwenye kulinda mke utakuja kwenda jela bure
  13. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Israel imeukataa na kuupinga mkataba wa amani wa iran na US! Inasema itaendelea kuwabomoa hezbollar na Iran

    Trump kaa pembeni wacha kiwake tuone mwishowe
  14. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Kilio cha Vijana kwa Utumishi: Mfumo wa 'Ajira Portal' Umerahisisha Kazi au Umetuongezea Msongo wa Mawazo?

    Mimi nikiomba udereva naambiwa sina sifa,na kila kitu kipo Sawa mwingine kaniambia nitoe mavyeti ya chuo.Yaan hata sielewi kabisa
  15. Uhuru24

    JamiiForums Tanzania Baada ya kupita sehemu nikaona ngoja nisogeze hili swali

    1:Akili ni nini? 2:Akili inapatikana wapi,ikiwa maana kwamba mtu anazaliwa nayo au anaipata shuleni? 3:Ikiwa anazaliwa nayo,kwanini shuleni akifeli anaambiwa hana akili? Ikiwa anaipata shuleni,kwann mtu humwambia mwanae hana akili angali mwanaebbqdo hajaenda Shuler? 4:Tofauti ya akili na...
Back
Top Bottom