1:Akili ni nini?
2:Akili inapatikana wapi,ikiwa maana kwamba mtu anazaliwa nayo au anaipata shuleni?
3:Ikiwa anazaliwa nayo,kwanini shuleni akifeli anaambiwa hana akili?
Ikiwa anaipata shuleni,kwann mtu humwambia mwanae hana akili angali mwanaebbqdo hajaenda Shuler?
4:Tofauti ya akili na...
Akili yako na Mavi tofauti ni joto,marekani angefanikiwa angelilia Dunia kuomba msaada?
Cha kukusaidia acha kula nguruwe ili minyoo isiendelee kuharibu ubongo uliobakia
Nimepitia kwenye account moja ya instagram [WORLD DATA RANKING] naona hapa nchi 50 duniani ambazo huzalisha mafuta kwa wingi,ndipo nikaja kujiuliza huu uhaba wa mafuta unatoka wapi?
Yaan kwa nchi hizi 50 duniani ambazo ndio zinaongoza kwa uzalishaji wa mafuta sidhani kama tungefikia hatua hii...
Mabahasha wenu walijificha kwenye mahandaki wakaona bora watoke waandamane ili kusitisha vita.Mwanaume Iran alishasema hata miaka 10 tupigane,wewe endelea kuwasikiliza wachungaji wako wakuongopee juu ya taifa teule ili akupukutishe fedha maana wenzetu uwezo wa kuchanganua [0]
Mtoa Mada acha kula nguruwe ili minyoo isiendelee kuharibu ubongo wako sehemu iliyobakia tafadhali,vita ni mchezo wa wazi sote tumeona piga nikupige.
Ile dhana ya taifa teule haliguswi kwisha habari yao,kama yeye taifa teule ana hiyo jeuri basi atupe hata jiwe Iran aone moto wake.
Shoga huwezi...
Unafikri mkuu,lilikuwa jambo jema sana kama watu wangepata huduma ya DNA kabla ya mtoto kuruhusiwa,hii tabia ya kuficha ficha ndio inayoturudisha nyuma kila siku.
Yaan nashindwa kuelewa kwann watu weusi baadhi hawautakagi ukweli
Serikali ingekuwa na utaratibu anapozaliwa mtoto hospital kabla ya kuruhusiwa vingefanyika vipimo vya DNA bure kabisa,ili wakitoka hapo wawe Safi.
Unajua watu kila siku wanaumiza kwa jambo ambalo linge epukika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.