nashindwa kuomba kazi kutokana na kikwazo Cha cheti kimojawapo kwenye account yangu ya ajira Portal.Maana Kila ninapotaka kuomba kazi nakosa sifa kutokana na cheti kimojawapo kilichopo kwenye account ya ajira Portal.
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWENU
1:Akili ni nini?
2:Akili inapatikana wapi,ikiwa maana kwamba mtu anazaliwa nayo au anaipata shuleni?
3:Ikiwa anazaliwa nayo,kwanini shuleni akifeli anaambiwa hana akili?
Ikiwa anaipata shuleni,kwann mtu humwambia mwanae hana akili angali mwanaebbqdo hajaenda Shuler?
4:Tofauti ya akili na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.