Tuanze na maana ya kuzini kwanza.
Kuzini ni kufanya tendo la ndoa na mtu ambaye sio mke au mume wako halali, mpaka hapo hii haituhusu ambao bado hatujaoa wakuu 😁
Naamini inawezekana ukiamua na ukidhamiria. Jitahidi kuongea na mwanamke uso Kwa uso
Kwa mara ya kwanza itakusumbua lakini itazidi kukupa ujasiri japo kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.